Ushauri: Kilimo gani nifanye kwa mtaji wa Shilingi milioni 20?

Ushauri: Kilimo gani nifanye kwa mtaji wa Shilingi milioni 20?

Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.
Unaenda kuzika mil 20 zote bure? Kilimo ni kamali bora ununue mazao na kuuza. Ikishindikana hiyo nunua viwanja sehemu mbali mbali vitafutie hati kaa subiri hela. Narudia tena usizike pesa yako kwenye kilimo.
 
Kwa mtaji huo ili uweze kuzungusha na kupata faida bora usubiri ununue mazao mbalimbali uuze maana kilimo kina changamoto nyingi ...mvua,usimamiaji na soko .Lakini pia kipindi hiki ambapo baadhi ya sehemu Tanzania mvua bado na bei ya mifugo kama ng'ombe ik chini kanunue ng'ombe fungua bucha kitoweo ni shida hasa majiji makubwa kama Dar Arusha,Mwanza,Dodoma .
 
Sikushauri uingie kwenye kilimo , bora usubir kipindi cha mavuno hasa ifakara uchukue mpunga elfu 50 mpka 60 saiz gunia shs 130000,
Hiyo itakulipa kuliko kulima
Hili nakuunga mkono,asilime asubuli wakati wa kuvuna anunue mazao ayahifadhi
 
Habari wadau,

Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.

Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?

Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.

Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.

Natanguliza shukran.
Ahah hapo wazee wa forex wanakutaman
. Wanakutafutia angle of elevation tu
 
Kama upo serious nenda tukuyu mbeya kalime migomba, hela ya ndizi haijawahi kukata na kupotea inakuja kama salary tu, nunua shamba zuri kwa milioni kumi na tano, nunua ngombe ndama wa milioni na nusu, baada ya mwaka utakuwa unavuna maisha yako yote
 
Kilimo Cha matunda mbalimbali Kama vile ndizi, papai, passion, dragon, strawberries,matango,etc Hiki ni kilimo chenye tija kubwa ukipata shamba lenye maji ya kutosha au wekeza katika hilo. Kilimo Cha maharage pia.

Mifugo Kama mbuzi, ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa kunenepesha wa nyama, kondoo, Bata mzinga kina tija pia ukikisimamia vizuri.
Kiufupi ni hivyo ukitaka details na michanganuo wa kila kimoja tutawasiliana.

Au subiri wakati wa mavuno ya nafaka ununue usubiri kuuza kipindi Cha low season.
 
Kilimo Cha matunda mbalimbali Kama vile ndizi, papai, passion, dragon, strawberries,matango,etc Hiki ni kilimo chenye tija kubwa ukipata shamba lenye maji ya kutosha au wekeza katika hilo. Kilimo Cha maharage pia.

Mifugo Kama mbuzi, ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa kunenepesha wa nyama, kondoo, Bata mzinga kina tija pia ukikisimamia vizuri.
Kiufupi ni hivyo ukitaka details na michanganuo wa kila kimoja tutawasiliana.

Au subiri wakati wa mavuno ya nafaka ununue usubiri kuuza kipindi Cha low season.
 
Po
Kilimo Cha matunda mbalimbali Kama vile ndizi, papai, passion, dragon, strawberries,matango,etc Hiki ni kilimo chenye tija kubwa ukipata shamba lenye maji ya kutosha au wekeza katika hilo. Kilimo Cha maharage pia.

Mifugo Kama mbuzi, ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa kunenepesha wa nyama, kondoo, Bata mzinga kina tija pia ukikisimamia vizuri.
Kiufupi ni hivyo ukitaka details na michanganuo wa kila kimoja tutawasiliana.

Au subiri wakati wa mavuno ya nafaka ununue usubiri kuuza kipindi Cha low season.

Kilimo Cha matunda mbalimbali Kama vile ndizi, papai, passion, dragon, strawberries,matango,etc Hiki ni kilimo chenye tija kubwa ukipata shamba lenye maji ya kutosha au wekeza katika hilo. Kilimo Cha maharage pia.

Mifugo Kama mbuzi, ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa kunenepesha wa nyama, kondoo, Bata mzinga kina tija pia ukikisimamia vizuri.
Kiufupi ni hivyo ukitaka details na michanganuo wa kila kimoja tutawasiliana.

Au subiri wakati wa mavuno ya nafaka ununue usubiri kuuza kipindi Cha low season.
Points nzur
 
Kama shamba lisingekuwa dar ningekushauri ulime strawberry, tatizo Hali ya hewa ya dar sio rafiki kwa zao Hilo
 
Unaenda kuzika mil 20 zote bure? Kilimo ni kamali bora ununue mazao na kuuza. Ikishindikana hiyo nunua viwanja sehemu mbali mbali vitafutie hati kaa subiri hela. Narudia tena usizike pesa yako kwenye kilimo.
Du kilimo sio kaamari mzee, mimi nalima na maisha yanabadilika sana ,
 
Sijaona parachichi sijui hamtaki awe tajiri!
 
Back
Top Bottom