Loyalist
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 411
- 893
Dah!! ๐๐๐๐๐ Kwa kwerii maisha sio poa asee maana Mambo Ni magumu aseee mkuu wangu sanaaa huku kitaa mkuu walioko chuo wanatakiwa kulijua hili
Nikweli mkuu,, siku hizi ujanja ni kuwa Na ka-course kako Fulani ambako kanaweza kukufanya ujiajiri au ujipatie chochote pindi pale unapokosa ajira rasmini,
Nimeku pm mkuu,,