Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Wadau wajasiriamali ninawasalimu!
Naomba kupewa ushauri wa ujasiriamali mdogo bisi.
Huwa napenda sana kula bisi, kila nikipita wanakokaanga lazima ninunue nijilieeee, sasa kwa mapenzi haya nikatamani nami nifanye biashara hii, nimefanya kautafiti kidogo maeneo ya mtaani kwetu hamna wakaanga bisi, nikabaini maeneo kama mawili yanayopitwa na watu sana, nikaona niweke mashine zangu maeneo hayo, nikawauliza vijana wkaanga bisi pale mwenge kuhusu mashine wakanambia zinapatika kwa bei ya laki tatu za kutengenezwa hapa nyumbanina kuhusu mapato ya siku, wakasema huwa wanamaliza mfuko wa kilo20 kwa siku na hupata laki na ishirini mpka na nusu kwa siku. Sasa kabla sijaanza naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa biashara hii, kwani nitaajiri vijana, mie ni mwajiriwa.
Asanteni sana wapendwa.
Naomba kupewa ushauri wa ujasiriamali mdogo bisi.
Huwa napenda sana kula bisi, kila nikipita wanakokaanga lazima ninunue nijilieeee, sasa kwa mapenzi haya nikatamani nami nifanye biashara hii, nimefanya kautafiti kidogo maeneo ya mtaani kwetu hamna wakaanga bisi, nikabaini maeneo kama mawili yanayopitwa na watu sana, nikaona niweke mashine zangu maeneo hayo, nikawauliza vijana wkaanga bisi pale mwenge kuhusu mashine wakanambia zinapatika kwa bei ya laki tatu za kutengenezwa hapa nyumbanina kuhusu mapato ya siku, wakasema huwa wanamaliza mfuko wa kilo20 kwa siku na hupata laki na ishirini mpka na nusu kwa siku. Sasa kabla sijaanza naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa biashara hii, kwani nitaajiri vijana, mie ni mwajiriwa.
Asanteni sana wapendwa.