Tupe maujanja mzeyaKuchukua milioni 2 laki 6 hadi 8 kununua TVS au Boxer na kumpa mtu akuletee elfu 10 kwa siku na baada ya miezi 13 pkpk sio yako ni matumizi mabaya ya akili. Risk ni kubwa sana, madereva wengine wanajichanja hadi viwembe wanakwambia imeibiwa. Siku hizi hata GPS mwizi akishirikiana na dereva wanafanikiwa. 2.8 mil ni pesa nyingi sana waweza fanya mengi kuingiza pesa nyingi tu. Nakushauri jipe muda ufanye research, mambo ya kufanya na 2.8 au 5.6 ya pkpk 2 ni mengi sana.
Kama utaweza hiyo ndio njia pekee ya kuona hela yako.Kwahiyo mkuu unashauri mtu Kama umeamua kununua bodaboda uingie mzigoni mwenyewe au siyo?!!
Mambo ni mengi ila ni yapi, mkuu kusema ni rahisi kuliko kutenda kama zipo hizo biashara ziweke hapa alafu nazo tuzipime kwenye mizani sawa na biashara husikaKuchukua milioni 2 laki 6 hadi 8 kununua TVS au Boxer na kumpa mtu akuletee elfu 10 kwa siku na baada ya miezi 13 pkpk sio yako ni matumizi mabaya ya akili. Risk ni kubwa sana, madereva wengine wanajichanja hadi viwembe wanakwambia imeibiwa. Siku hizi hata GPS mwizi akishirikiana na dereva wanafanikiwa. 2.8 mil ni pesa nyingi sana waweza fanya mengi kuingiza pesa nyingi tu. Nakushauri jipe muda ufanye research, mambo ya kufanya na 2.8 au 5.6 ya pkpk 2 ni mengi sana.
Well said..wabongo kuongea rahisi sana.Mambo ni mengi ila ni yapi, mkuu kusema ni rahisi kuliko kutenda kama zipo hizo biashara ziweke hapa alafu nazo tuzipime kwenye mizani sawa na biashara husika
Hesabu iliyopigwa hapo juu yuko sawa japo sio sahihi.Nadhani ni vizuri kutoa mkataba kwa ajili ya usalama.au wewe waonaje?
Toa hicho kipato kingine. Kila biashara ijisimamie. Unapata mshahara halafu unajidai Biashara inakupa faida.!!!Kuna njia naitumia na inanilipa vizuri sana....ngoja niweke hapa....
Mimi huu ni mwaka wa 2 huwa nanunua pikipiki used kwa mil 1.5 hadi 1.7 hivi..... nimepitia bodaboda 4 hadi sasa
Hizi pikipiki natoa kwa mkataba wa miezi 9 tu baada ya hapo inakuwa ya kwake.....
Hesabu 10 × miezi 9 (270) hesabu ya kichwani ilikuwa inakuja 2,700,000 laki 3 toa changamoto nyingine za service ndogondogo na hapo service nyingi huwa anapiga mwenyewe sababu pikipiki ni ya kwake.....ila mimi nimewatengea laki 3 ya service au janga lolote lile kuwasupport...
Hapo huwa inabakia kama laki 9 (900000) na nina bodaboda 2 .pia nina kipato kingine hivyo bodaboda huwa inanipa hrla ya akiba tu....
so mara ya kwanza faida ilikuwa mil 1.9 ndani ya hiyo miezi 9 kwa mtaji wa mil 3... mara ya pili bado mkataba unatembea
Biashara zote ngumu, sio mbaya kufanya na sio kujaribu. Hapo ukipoint boda za mil 1 kwenda mil 1.3 faida inakuwa kubwa etc...
Angalizo bodaboda used nyingine za wizi, ununue upewe document au ununue kwa madalali official kidogo afadhali
Ndio maana nikaweka wazi kila kitu ili kusuka au kunyoa kiwe kwa anaetaka etc.....ila pikipiki used ni bora kuliko mpya kwenye return rate yake....Toa hicho kipato kingine. Kila biashara ijisimamie. Unapata mshahara halafu unajidai Biashara inakupa faida.!!!
Kuna njia naitumia na inanilipa vizuri sana....ngoja niweke hapa....
Mimi huu ni mwaka wa 2 huwa nanunua pikipiki used kwa mil 1.5 hadi 1.7 hivi..... nimepitia bodaboda 4 hadi sasa
Hizi pikipiki natoa kwa mkataba wa miezi 9 tu baada ya hapo inakuwa ya kwake.....
Hesabu 10 × miezi 9 (270) hesabu ya kichwani ilikuwa inakuja 2,700,000 laki 3 toa changamoto nyingine za service ndogondogo na hapo service nyingi huwa anapiga mwenyewe sababu pikipiki ni ya kwake.....ila mimi nimewatengea laki 3 ya service au janga lolote lile kuwasupport...
Hapo huwa inabakia kama laki 9 (900000) na nina bodaboda 2 .pia nina kipato kingine hivyo bodaboda huwa inanipa hrla ya akiba tu....
so mara ya kwanza faida ilikuwa mil 1.9 ndani ya hiyo miezi 9 kwa mtaji wa mil 3... mara ya pili bado mkataba unatembea
Biashara zote ngumu, sio mbaya kufanya na sio kujaribu. Hapo ukipoint boda za mil 1 kwenda mil 1.3 faida inakuwa kubwa etc...
Angalizo bodaboda used nyingine za wizi, ununue upewe document au ununue kwa madalali official kidogo afadhali
Tupe pia harasa au changamoto ulizowahi kumbana nazo katika hii biashara.Kuna njia naitumia na inanilipa vizuri sana....ngoja niweke hapa....
Mimi huu ni mwaka wa 2 huwa nanunua pikipiki used kwa mil 1.5 hadi 1.7 hivi..... nimepitia bodaboda 4 hadi sasa
Hizi pikipiki natoa kwa mkataba wa miezi 9 tu baada ya hapo inakuwa ya kwake.....
Hesabu 10 × miezi 9 (270) hesabu ya kichwani ilikuwa inakuja 2,700,000 laki 3 toa changamoto nyingine za service ndogondogo na hapo service nyingi huwa anapiga mwenyewe sababu pikipiki ni ya kwake.....ila mimi nimewatengea laki 3 ya service au janga lolote lile kuwasupport...
Hapo huwa inabakia kama laki 9 (900000) na nina bodaboda 2 .pia nina kipato kingine hivyo bodaboda huwa inanipa hrla ya akiba tu....
so mara ya kwanza faida ilikuwa mil 1.9 ndani ya hiyo miezi 9 kwa mtaji wa mil 3... mara ya pili bado mkataba unatembea
Biashara zote ngumu, sio mbaya kufanya na sio kujaribu. Hapo ukipoint boda za mil 1 kwenda mil 1.3 faida inakuwa kubwa etc...
Angalizo bodaboda used nyingine za wizi, ununue upewe document au ununue kwa madalali official kidogo afadhali
Niseme kwanza ChangamotoTupe pia harasa au changamoto ulizowahi kumbana nazo katika hii biashara.
#MaendeleoHayanaChama
Ni kweli mkuu hizi biashara mtu atataka useme unaingia mil wakati sio kweli....Mdau uko sahihi sana. Changamoto ya JF ya ss ni watu kupinga mawazo y wengine ambayo wanapatia mkate wao wa kila cku bila kutoa mawazo yao kama mbadala.
Kuna jambo mtu anaogopa kushea hapa kisa watu wachache kupinga bila hoja ya kwao.
Kwa njia nyingine jipigie PESA kimya kimya tu!!
Kisha fanya maisha yako tu.
Kuna cku nilichangia mada moja jinsi watu tunavyo jipatia mkate wetu uwezi kuamini nilishukiwa kama MWEWE kwa kifaranga. Kutoka cku iyo nikajifunza kuto ongea wakati wa kula.
samahani kiobgozi nwweza pata huo mkataba nniuoneKuna njia naitumia na inanilipa vizuri sana....ngoja niweke hapa....
Mimi huu ni mwaka wa 2 huwa nanunua pikipiki used kwa mil 1.5 hadi 1.7 hivi..... nimepitia bodaboda 4 hadi sasa
Hizi pikipiki natoa kwa mkataba wa miezi 9 tu baada ya hapo inakuwa ya kwake.....
Hesabu 10 × miezi 9 (270) hesabu ya kichwani ilikuwa inakuja 2,700,000 laki 3 toa changamoto nyingine za service ndogondogo na hapo service nyingi huwa anapiga mwenyewe sababu pikipiki ni ya kwake.....ila mimi nimewatengea laki 3 ya service au janga lolote lile kuwasupport...
Hapo huwa inabakia kama laki 9 (900000) na nina bodaboda 2 .pia nina kipato kingine hivyo bodaboda huwa inanipa hela ya akiba tu....
So mara ya kwanza faida ilikuwa mil 1.9 ndani ya hiyo miezi 9 kwa mtaji wa mil 3... mara ya pili bado mkataba unatembea
Biashara zote ngumu, sio mbaya kufanya na sio kujaribu. Hapo ukipoint boda za mil 1 kwenda mil 1.3 faida inakuwa kubwa etc...
Angalizo bodaboda used nyingine za wizi, ununue upewe document au ununue kwa madalali official kidogo afadhali
Ndio mkuu, hamna shida nilitumiwa pia hivyo haina shida...naweka picha zake hapaView attachment 2078680samahani kiobgozi nwweza pata huo mkataba nniuone
HiiNdio mkuu, hamna shida nilitumiwa pia hivyo haina shida...naweka picha zake hapaView attachment 2078680View attachment 2078681
Sorry chief waweza nisaidia connection ya wauzaji wa hizi boda used zenye Quality na zisizo na longolongoKuna njia naitumia na inanilipa vizuri sana....ngoja niweke hapa....
Mimi huu ni mwaka wa 2 huwa nanunua pikipiki used kwa mil 1.5 hadi 1.7 hivi..... nimepitia bodaboda 4 hadi sasa
Hizi pikipiki natoa kwa mkataba wa miezi 9 tu baada ya hapo inakuwa ya kwake.....
Hesabu 10 × miezi 9 (270) hesabu ya kichwani ilikuwa inakuja 2,700,000 laki 3 toa changamoto nyingine za service ndogondogo na hapo service nyingi huwa anapiga mwenyewe sababu pikipiki ni ya kwake.....ila mimi nimewatengea laki 3 ya service au janga lolote lile kuwasupport...
Hapo huwa inabakia kama laki 9 (900000) na nina bodaboda 2 .pia nina kipato kingine hivyo bodaboda huwa inanipa hela ya akiba tu....
So mara ya kwanza faida ilikuwa mil 1.9 ndani ya hiyo miezi 9 kwa mtaji wa mil 3... mara ya pili bado mkataba unatembea
Biashara zote ngumu, sio mbaya kufanya na sio kujaribu. Hapo ukipoint boda za mil 1 kwenda mil 1.3 faida inakuwa kubwa etc...
Angalizo bodaboda used nyingine za wizi, ununue upewe document au ununue kwa madalali official kidogo afadhali
Hao jamaa wanafanya biashara ya used vizuri ba wanaoffice yao.....ila wapo na wengine ni vyema ukaulizaSorry chief waweza nisaidia connection ya wauzaji wa hizi boda used zenye Quality na zisizo na longolongo