Eddy Elphazi
Member
- Aug 16, 2020
- 8
- 9
Habarini za wakati huu wana JF
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nina miaka takriban mitatu mtaani sjabahatika kupata ajira so nikawa najichanga changa kwenye mambo yangu nikapata kama 2.2 M nikafungua kigrocery mtaani sasa kinachonisibu asee yan nakopwa so mchezo hadi msingi umepungua sana.
Of course nimekaza sana kutokukopesha but kwa wenye uzoefu na hii biashara mnaelewa ni ngumu kiasi gani kumkatalia kila mteja(make wateja wengine ni wateja wako wakubwa) sasa shida inakuja ukimkopa wengine wanakimbia wengine wanalipa ila wanachelewa sana kulipa(hela inabidi izunguke) na msingi unapungua kila kukicha.
Sasa nilikuwa naomba ushauri kwa mwenye uzoefu na hii biashara ni kwa namna gani nitaeza kukabiliana na hili swala la madeni make nataka kabisa niache kukopesha(japo huezi acha kwa 100%).Naombeni ushauri ndugu zangu
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nina miaka takriban mitatu mtaani sjabahatika kupata ajira so nikawa najichanga changa kwenye mambo yangu nikapata kama 2.2 M nikafungua kigrocery mtaani sasa kinachonisibu asee yan nakopwa so mchezo hadi msingi umepungua sana.
Of course nimekaza sana kutokukopesha but kwa wenye uzoefu na hii biashara mnaelewa ni ngumu kiasi gani kumkatalia kila mteja(make wateja wengine ni wateja wako wakubwa) sasa shida inakuja ukimkopa wengine wanakimbia wengine wanalipa ila wanachelewa sana kulipa(hela inabidi izunguke) na msingi unapungua kila kukicha.
Sasa nilikuwa naomba ushauri kwa mwenye uzoefu na hii biashara ni kwa namna gani nitaeza kukabiliana na hili swala la madeni make nataka kabisa niache kukopesha(japo huezi acha kwa 100%).Naombeni ushauri ndugu zangu