Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Kwa Zanziber sio! Kule kuna vitu vya bei rahisi sema tu mambo ya ushuru ndiyo yanabana sana kama vile sio nchi ya muungano bana.Niliuliza watu wawili watatu wanasema pc ni za ku order nakusubiri mzigo ukifika ndio ukachague..
Mzigo ukichukuliwa na kuwekwa dukani price yake inakuwa kubwa kusafirisha huku Dar kodi kubwa unaweza kupata faida
Mkuu unashauri tukafanye survey tu zanzibar? Na kuchukua mzigo huko.Kwa Zanziber sio! Kule kuna vitu vya bei rahisi sema tu mambo ya ushuru ndiyo yanabana sana kama vile sio nchi ya muungano bana
Mwaka juzi disk top moja ushuru ilikuwa 30k hapo haujajumlisha nauli za kuisafirishaMkuu unashauri tukafanye survey tu zanzibar? Na kuchukua mzigo huko.
Mfano Laptop 1 ushuru wake unaweza kuwa kiasi gani?
Shida wakulungwa hawawezi kupa channel wabongo sijui tukoje aseeTatizo ni mtaji tu, ila dubai nasikia bei rahisi sana
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Uasfiri gani hutumika ,kutoa Laptop DUBAI to TZ??? Ndege au meli ? Tukizingatia unafuu na uharaka?Tatizo ni mtaji tu, ila dubai nasikia bei rahisi sana
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mbongo anahisi akikupa mchongo au akishea mchongo hapa anahisi labda watanzania mil60 wote watafanaya biashara kama yake,Shida wakulungwa hawawezi kupa channel wabongo sijui tukoje asee
Tatizo pia linakuja kumpata supplier wa uhakika huko alibaba... namna yakuzisafirisha pia kupunguza gharama ...Nilishawahi kufanya tafiti nikabaini computer nyingi hasa laptops zinapatikana alibaba na huwa zinauzwa kutokana na specs za pc husika. Mfano unaweza kupata piece 100 za used laptops kwa dola 200 na au vinginevyo kwa piece moja bei ya jumla. Ukiwa na mtaji mzuri ni vyema kwenda dubai moja kwa moja kisha ukachukue mzigo uje nao. Maana wengi hufuata mizigo hasa used smartphones na kadhalika.
Ulishawahi kuagiza computer kupitia Alibaba utupatie uzoefu.... Maana mimi nilishtushwa na ambavyo bei zao ziko chinikama utatata nje, agiza kupitia albaba,ambao computer moja used unaweza ipata hata kwa laki moja au pungufu ya hapo itategemeana na ubora
Vipi hawa Aliexpress kwenye uaminifu mheshimiwaNje niliwahi agiza vifaaa vidogo vidogo tu aliexpress.
Ulishawahi agiza computer kupitia Alibaba utupe uzoefuNilishawahi kufanya tafiti nikabaini computer nyingi hasa laptops zinapatikana alibaba na huwa zinauzwa kutokana na specs za pc husika. Mfano unaweza kupata piece 100 za used laptops kwa dola 200 na au vinginevyo kwa piece moja bei ya jumla.
Habari wakuu.
Ni wapi zinapatikana Computer used nzuri kwa bei ya jumla?
Nitapata kwa Tshs. Ngapi kwa pc 1 kutokana na specifications za computer husika? Yaani bei ya kila pc na specifications zake.
Kwa wanaofahamu ma Supplier wa China na Dubai watujuze pia.
Kwa mzigo wa kutoka nje gharama za usafirishaji kwa Meli /Ndege zikoje?
Asante.
View attachment 1761981
Uko wapi? Na gharama ziko vipi huko?Mzee, mimi nilipo huku zinapatikana used nyingi sana kwa bei tofauti tofauti. Tatizo ni gharama za huku zinaweza zisiwe rafiki kwa bongo, pili ni usafiri, tatu ni kodi za uingizaji bidhaa hizo lakini la mwisho ila siyo kwa umuhimu ni sheria za uagizaji.
Je, sheria inaruhusu uagizaji wa bidhaa tajwa, kwa urahisi gani? Maana navyoelewa siku hizi serikali zetu zinaziba mianya ya kuifanya Afrika kuwa jalala hivyo ni muhimu kuyafanyia utafiti hayo mambo kwanza
Uko wapi? Na gharama ziko vipi huko?