doctordrew
Member
- Apr 26, 2020
- 71
- 36
Habari wana JF,
Nina ndugu yangu ana gari ya kubebea mizigo ya tani 7, amepaki tu nyumbani. Anaomba ushauri, anawezaje kutumia kwenye biashara ya kusafirisha mizigo ili apate kipato?
Kwa yeyote mwenye ushauri mzuri karibu.
Nina ndugu yangu ana gari ya kubebea mizigo ya tani 7, amepaki tu nyumbani. Anaomba ushauri, anawezaje kutumia kwenye biashara ya kusafirisha mizigo ili apate kipato?
Kwa yeyote mwenye ushauri mzuri karibu.