Ushauri kuhusu biotechnology

Moyibi

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,054
Reaction score
701
Hivi hii course ya Molecular biology and biotechnology inalipa hapa Tanzania au ni Kuhangaika mwanzo mwisho afu ningependa kujua unaweza ajiriwa mahali gani? Na ingekua vizuri mngeniambia mshahara wake una Anzia kiasi gani?
 
soma ujiajiri italipa zaidi yakuajiriwa futa dhana hiyo
 
soma ujiajiri italipa zaidi yakuajiriwa futa dhana hiyo

nimekuelewa mkuu.! Vp lakni if kama nimeajiriwa vp kiwango cha mshahara kina anzia shlng ngapi za kitanzania?
 
Hivi hii course ya Molecular biology and biotechnology inalipa hapa Tanzania au ni Kuhangaika mwanzo mwisho afu ningependa kujua unaweza ajiriwa mahali gani? Na ingekua vizuri mngeniambia mshahara wake una Anzia kiasi gani?

hawa nadhani ni wale wanaohusika na uchachushaji kwenye viwanda...
 
kiwandani?! Mbn umeniacha njia au katika upande wa kutengeneza malt katika kiwanda cha bia

sio malta tu mzee product nyingi tu zinachachushwa...all in all hawa jamaa wanafanya viwanda...info ninazo kidogo lakini hivyo mimi ndo ninavyo jua
 
Unapaswa kufungua macho kijana na kufikiria katika daraja la dunia hali ya kuwa ukitekeleza katika mazingira yetu yaani Think globally and act locally, futa fikra za kuajiriwa anza kozi yako ukiwa na maono ya kujiajiri na ikitokea ukaajiriwa basi iwe ni by the way ila swala la mishahara halina kanuni kunutofauti mkubwa baina ya kampuni na kampuni mathalani ukiwa katika vituo vya utafiti kunakuwa na fursa nyingi zaidi kuliko kufanya kazi katika viwanda vya vyakula na vinywa na kama unataka figure, entry salary ni baina ya 5 k to 1.8K it depend where you are.

Chamsingi hakikisha kozi unayochukua inaweza kukupelekea kujiajiri.
 
Hivi hii course ya Molecular biology and biotechnology inalipa hapa Tanzania au ni Kuhangaika mwanzo mwisho afu ningependa kujua unaweza ajiriwa mahali gani? Na ingekua vizuri mngeniambia mshahara wake una Anzia kiasi gani?

Vipi duduz hii haina competition?
 
Kozi nzuri lakini inategemea wafadhili. Siku mzungu aki-loose interest inakula kwako. Ni kama udereva wa treni, wajuba wamekula trc saa hizi wanabaki mafundi gereji.

Soma mavitu politicians (empty headed kinda thing) wataelewa kwa urahisi. Ukimuuliza Le mutuz hii ni nini hatokuelewa, do u feel me?
 
Hii kozi ni nzuri sana, lakini kwa TZ ni vigumu sana kupata kazi kwenye Halmashauri za (w) ambazo ndo zinachukua graduate wengi, kiufupi hakuna ngazi yako katika Halmashauri za (w). eg Halmashauri zinachuua waalim, madaktari mabwana mifugo etc. ila kuanzia mwaka jana baadhi ya wizara zimeanza kuwatambua graduate wa mol.Biol& Biotech. eg wizara ya kilimo imewaajiri wengi tuu na kuwapeleka kwenye centers zao Mikocheni (MARI),Mbeya, Mwanza etc. Wizara ya mifugo nayo itawahitaji vijana wanaojua molecular biology hasa baada ya Agency yao(CVL) kuanza kazi rasmi. vilevile kuna graduate wengi wanafanya research na centers za hapa nchini. eg. NIMRI, Ifakara centers, KCMC, na miradi mingi ya utafiti iliyopo Universities eg SUA, UDSM, KCMC,Bugando, Muhimbili, etc Unaweza vilevile kuajiliwa na Private centers like pharmaceutical industry, Breweries company, Environmental care centers, Private universities as a Tutor (universities nyingi zinafundisha intr. to mol. biol&Biotech na hawana waalim). Mwisho unaweza kujiajiri, mpaka sasa nishaona group mbili waliojiajiri tayari, Moja ni graduate wa SUA ambao wamejiunga na graduate wenzao wa medical field na kuanzisha Diagnostic lab DSM. wanapima malaria, TB, HIV,MIMBA, Kisukari. etc. Group ya pili ni graduate wa UDSM ambao wameanzisha kampuni ya kuzoa Biological waste from different industries, Hospitals etc and they properly dispose those waste as per biological safety rules and regulation rqments. Hawa wameingia ubia na hospital kadhaa jijini na wana zoa Syringes, contaminated gloves, Pamba, etc. kiufupi uchafu wote wa hospital. group hili limeajiri graduate wenzao wapatao 50. Kama unasoma kazana ufaulu opportunity zipo nyingi zinakuja kwani hii ni kozi mpya sana nchini. wanaoajiriwa Wizarani Range ya mshahara ni kati ya laki 5-8.5. Private nyingi ni laki 9- million 3.5 inategemea kazi na umuhimu wako hapo kazini, ila ni contract basis na sio permanent.
 

thanks for Your advice mkuu
 

thanks 4ur advce mkuu..!!
 
Hivi hii course ya Molecular biology and biotechnology inalipa hapa Tanzania au ni Kuhangaika mwanzo mwisho afu ningependa kujua unaweza ajiriwa mahali gani? Na ingekua vizuri mngeniambia mshahara wake una Anzia kiasi gani?

Degree huna unaanza kuulizia mshahara! get into a serious business kijana.
 
Hii sio kivile and nahisi ninaweza pelekwa pande hizi..!! But kiukweli nilikua sina hobby nayo kivile..!! Ma hobby was BVM

kama hobby ni Veterinary Medicine kilichokuzuia ni nini ? b'coz wengi wanaihofia na mkopo ni 100%. Ila nina wasiwasi kama BVM utaiweza ww, siasa nyingi mno kwanini usiende rural development? una div.gani dogo?
 
kama hobby ni Veterinary Medicine kilichokuzuia ni nini ? b'coz wengi wanaihofia na mkopo ni 100%. Ila nina wasiwasi kama BVM utaiweza ww, siasa nyingi mno kwanini usiende rural development? una div.gani dogo?

unadhan mimi ni kilaza eeh..!! Ngoja nita ku pm
 
Hii sio kivile and nahisi ninaweza pelekwa pande hizi..!! But kiukweli nilikua sina hobby nayo kivile..!! Ma hobby was BVM

dont worry kaka mi mwenyewe nliapply BVM ya kwanza hii ya pili ila ni mapema sana kukata tamaa kama umekosa lets wait bro!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…