kindimu
Member
- Mar 26, 2014
- 42
- 7
Wana jamvi, ninamatumaini yangu kuwa ni wazima. Mimi nimemaliza diploma ya computer engineering nikabahatika kupata ila ya mkataba katika kampuni moja lakini pia mwaka jana niliomba chuo nikabahatika kupata SUA.
Kwenye fani ya BSc. Irrigation and Water Resources Engineering pia nikapata mkopo 100% nikaenda kuomba nisome mwaka huu na nikakubaliwa.
Sasa naona muda unakaribia na sijapata maelezo ya kutosha kuhusiana na kozi hiyo katika suala zima la kujiajiri au kuajilwa ili nisije kujuta. Mwenye uelewa na kozi hiyo tafadhari naomba anisadie.
Kwenye fani ya BSc. Irrigation and Water Resources Engineering pia nikapata mkopo 100% nikaenda kuomba nisome mwaka huu na nikakubaliwa.
Sasa naona muda unakaribia na sijapata maelezo ya kutosha kuhusiana na kozi hiyo katika suala zima la kujiajiri au kuajilwa ili nisije kujuta. Mwenye uelewa na kozi hiyo tafadhari naomba anisadie.