Jangili La Kimataifa
Member
- Jun 13, 2024
- 8
- 7
Habari za Asubuhi wadaunwa sekta ya Kilimo,
Naomba kuuliza je ni siku ngapi mbegu ya tikiti ya sugar queen F1 toka hutumia hadi kutoka ardhini maana ya kwangu ni siku ya tisa bado haijatoka na nimeanzà kupata mashaka ushauri wàdau 🙏
Naomba kuuliza je ni siku ngapi mbegu ya tikiti ya sugar queen F1 toka hutumia hadi kutoka ardhini maana ya kwangu ni siku ya tisa bado haijatoka na nimeanzà kupata mashaka ushauri wàdau 🙏