The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
- Thread starter
-
- #21
nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako wenye kujenga mungu akubarikiThe thinker27
1.Muda wa kukata rufaa ukifika wewe kata rufaa , mwaka jana ilitokea maajabu karibia first year wote ambao wamepata kiasi kidogo cha Fedha(sio wale waliokosa kabisa)na kukata waliokata rufaa walipata tena 100% wale waliokata tamaa na kutokata rufaa wakajutia baadae.Muda ukifika jaribu kuwa kuwa hata ukikosa kiasi cha mwanzo kinabaki hivyo hivyo.
2. Panga mikakati mapema ya kujikwamua kama ukikosa na rufaa ,kwa kuomba ndugu wakuwezeshe nk.
pamoja sana mkuuEnzi nzetu kuna kijana aliingia Top 10 tena yeye ni yatima hakuwa na wazazi kabisa alisomeshwa shule za msaada na wazungu.. Yule kijana bila CRDB kumdhamini wao asome alishaacha chuo hii kuonesha Heslb wana mioyo migumu mno so dont temper aisee unaweza juta.[emoji28]
Kwamba tuliokosa batch ya kwanza tutapata viwango chini ya hao Waliopata batch 1Kijana sikushauri kukata rufaa kwa sasa kwani hali hiyo unayoiona sio kwako tu tena shukuru mungu umepata batch ya kwanza hujui wenzio huko batch za mwisho watawekewa ngapi.
Serikali inajua inachokifanya.
Wewe kuwa na subira na mambo mazuri hayataki papara.
Mwisho
YawezekanaKwamba tuliokosa batch ya kwanza tutapata viwango chini ya hao Waliopata batch 1
Shindwa pepo, acha uchawiYawezekana
Zingatia ushauri huu.Kama Hali nyumbani ni ngumu na ukawa hujaongezewa ada ,tumia boom kulipa Ada kulipa
Maisha ya iringa yapo chini katika vyakula hiyo laki sita unaweza kutenga laki tatu ukawa unaongezea Ada then laki tatu unatumia katika chakula .
Kumbuka MAARIFA ni utajiri mkubwa
Pamoja sana mkuu ntauzingatiaZingatia ushauri huu.
Akemewe kwa ngvu zoteShindwa pepo, acha uchawi
Huyo dogo mwanga kweliAkemewe kwa ngvu zote
Mambo ya ajabu hayo kukatishana tamaa hasa katika wakati mgumu kama huuHuyo dogo mwanga kweli
[emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya ajabu hayo kukatishana tamaa hasa katika wakati mgumu kama huu
Ahsante mkuu kwa ushauriKateni rufaa vijana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ashindwe na alegeeShindwa pepo, acha uchawi
Mtoto ibilisi yule kbs,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ashindwe na alegee