Ushauri kuhusu kusaini hati ya kiwanja

Ushauri kuhusu kusaini hati ya kiwanja

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Mimi niko mkoa mwingine nimetumiwa hati ya kiwanja changu ili niisaini, ninaomba ushauri hivi mahakama ya mwanzo au ya mkoa Baada ya Mimi kusaini ile sehemu ya mwanasheria wanaweza wakanisainia huku niliko?

Hata Kama kiwanja kiko mkoa jirani?Ushauri wenu wadau maana Mimi ni mjinga kwenye sheria!Pia nimeuliza kwa sababu wengi huwa ninaona wanaenda kusainisha hati kwa mawakili badala ya mahakamani
 
Mimi niko mkoa mwingine nimetumiwa hati ya kiwanja changu ili niisaini, ninaomba ushauri hivi mahakama ya mwanzo au ya mkoa Baada ya Mimi kusaini ile sehemu ya mwanasheria wanaweza wakanisainia huku niliko?

Hata Kama kiwanja kiko mkoa jirani?Ushauri wenu wadau maana Mimi ni mjinga kwenye sheria!Pia nimeuliza kwa sababu wengi huwa ninaona wanaenda kusainisha hati kwa mawakili badala ya mahakamani
Angalizo anayehusika hapo ni wakili ,fata utaratibu wa kisheria isije kuletea shida kwa kanuni hutakiwi kusaini kitu kama wakili kama ujashidia eneo husika na watu husika utapata shida
 
Angalizo anayehusika hapo ni wakili ,fata utaratibu wa kisheria isije kuletea shida kwa kanuni hutakiwi kusaini kitu kama wakili kama ujashidia eneo husika na watu husika utapata shida
Asante kwa ushauri!Nilimaanisha kuwa Baada ya Mimi kusaini naweza mpatia wakili hata huku niliko akanisainia?Kumbuka kiwanja kiko mkoa mwingine na hii hati Ina sehemu mbili yaani ya kwangu na ya mwanasheria
 
Back
Top Bottom