kamjabari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,144
- 1,668
Mvuto upi mkuu ! Hata kibaha kunaweza kuvutia kukuandalia na kupanga vyema!Ubungo haina mvuto kama kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvuto upi mkuu ! Hata kibaha kunaweza kuvutia kukuandalia na kupanga vyema!Ubungo haina mvuto kama kariakoo
Wamikoani nao wanaamishiwa Ubungo kwa wachina?Machinga wameandaliwa eneo la kisasa na Wachina pale Ubungo.
Kutakuwa na vizimba 10,000
Hii ndy idea ya kisomi na endelevu...mimi nilikua nawaza tu.kwani mfano kama pale mbezi mwisho. Serikali Wakafanya analysis na kuwafidia watu nyumba kadhaa za kutosha..na wakawaondoa na kubadili use kuwa la wafanya biashara kulingana aina ya biashara .halafu wakawamwaga wamachinga eneo hilo na wakawachag ushuru endelevu kila mmoja kila siku mfn 1000.je hela waliowekeza on long-term basis je serkali itapata hasara?Haiwezekani machinga wote wa Dar es Salaam kuwarundika sehemu moja kama Karume! Hawa wachuuzi (not machinga) wanatokea sehemu mbalimbali za Dar es Salaam kila asubuhi na kurudi jioni kwenye makazi yao huko. Busara kila Manispaaa (Ilala, Kinondoni, Temeke, Kigamboni, na Ubungo) iandae maeneo maalumu/masoko ikiwezekana kwenye kila Kata kwa ajili ya wachuuzi na wawe na vibali vya kufanya biashara kwenye maeneo hayo na wafanyie shughuli zao huko huko.
Kwenda mjini iwe ni kufuata mzigo na sio kutandaza bidhaa barabarani. Manispaa zi-encourage wafanyabiasahara wakubwa (wa Kariakoo na Posta) kufungua branches kwenye manispaa zao. Wanaweza kwa mfano kuwapa viwanja bure au manispaa zikajenga na kuwapangisha kama motisha na hamasa ila mwisho wa siku watalipa kodi. Hii itasaidia kupunguza msururu wa wachuuzi kuelekea Kariakoo na Posta kila mara. Uholela ufike mwisho.
... excellent! Lile pori la Kibaha panaweza kufunguliwa soko kubwa kabisa la bidhaa zinazoingia na kutoka badala malori kwenda hadi Kariakoo na Kigogo/Jangwani kila kitu kikaishia Kibaha. Ni thinking ndogo na ubunifu tu!Mvuto upi mkuu ! Hata kibaha kunaweza kuvutia kukuandalia na kupanga vyema!
Baada ya serikali kuhamia Dodoma kuna majengo mengi sana kule posta hayana kazi mfano wizara ya afya , wizara ya ardhi, wizara ya fedha nk. Serikali iwapatie TFF jengo mojawapo wafanye shughuli zao kama ofisi , wawapatie na ekari kadhaa za ardhi nje ya mji kwa ajili ya kujenga uwanja wa mpira, ule uwanja ugeuzwe kituo cha kibiashara kiunganishwe na machinga complex, machinga wa kariakoo wahamie Karume uwanjani
Wazo zuri, hata hivyo Tff wamesha pewa eneo kigamboni ambako wanajenga kituo cha michezo, nadhani na ofisi zao wangezihamishia huko huko inge kuwa vizuri sana.Baada ya serikali kuhamia Dodoma kuna majengo mengi sana kule posta hayana kazi mfano wizara ya afya , wizara ya ardhi, wizara ya fedha nk. Serikali iwapatie TFF jengo mojawapo wafanye shughuli zao kama ofisi , wawapatie na ekari kadhaa za ardhi nje ya mji kwa ajili ya kujenga uwanja wa mpira, ule uwanja ugeuzwe kituo cha kibiashara kiunganishwe na machinga complex, machinga wa kariakoo wahamie Karume uwanjani
Kura za uchaguzi upi? Serikali za mitaa au uchaguzi mkuu 2020? Kilichotokea ni matokeo ya upigaji kura?Ndio wapiga kura!
Wazo zuri SANABaada ya serikali kuhamia Dodoma kuna majengo mengi sana kule posta hayana kazi mfano wizara ya afya , wizara ya ardhi, wizara ya fedha nk. Serikali iwapatie TFF jengo mojawapo wafanye shughuli zao kama ofisi , wawapatie na ekari kadhaa za ardhi nje ya mji kwa ajili ya kujenga uwanja wa mpira, ule uwanja ugeuzwe kituo cha kibiashara kiunganishwe na machinga complex, machinga wa kariakoo wahamie Karume uwanjani
Umeleta suluhisho la uhakika.Haiwezekani machinga wote wa Dar es Salaam kuwarundika sehemu moja kama Karume! Hawa wachuuzi (not machinga) wanatokea sehemu mbalimbali za Dar es Salaam kila asubuhi na kurudi jioni kwenye makazi yao huko. Busara kila Manispaaa (Ilala, Kinondoni, Temeke, Kigamboni, na Ubungo) iandae maeneo maalumu/masoko ikiwezekana kwenye kila Kata kwa ajili ya wachuuzi na wawe na vibali vya kufanya biashara kwenye maeneo hayo na wafanyie shughuli zao huko huko.
Kwenda mjini iwe ni kufuata mzigo na sio kutandaza bidhaa barabarani. Manispaa zi-encourage wafanyabiasahara wakubwa (wa Kariakoo na Posta) kufungua branches kwenye manispaa zao. Wanaweza kwa mfano kuwapa viwanja bure au manispaa zikajenga na kuwapangisha kama motisha na hamasa ila mwisho wa siku watalipa kodi. Hii itasaidia kupunguza msururu wa wachuuzi kuelekea Kariakoo na Posta kila mara. Uholela ufike mwisho.
... ningetamani libaki hivyo kama njia ya ku-encourage biashara kuhamia ngazi za manispaa badala ya kurundikana sehemu moja - Kariakoo. Kila manispaa iwe na soko lake kubwa la hadhi ya Kariakoo.HIVI UJENZI AU SIJUI NI MAREKEBISHO SOKO LA KARIAKOO YATAANZA LINI?
Baada ya mwaka mmoja au miwili machinga watakuwa wameongezeka maeneo yale na mipango itabidi ibadilishwe upya.Baada ya serikali kuhamia Dodoma kuna majengo mengi sana kule posta hayana kazi mfano wizara ya afya , wizara ya ardhi, wizara ya fedha nk.
Serikali iwapatie TFF jengo mojawapo wafanye shughuli zao kama ofisi , wawapatie na ekari kadhaa za ardhi nje ya mji kwa ajili ya kujenga uwanja wa mpira, ule uwanja ugeuzwe kituo cha kibiashara kiunganishwe na machinga complex, machinga wa kariakoo wahamie Karume uwanjani
Mkuu, hata ofisi za RC na DC Ilala nazo zingepaswa pia kuondolewa pale zilipo hivi sasa ili kupisha ujenzi wa soko la kisasa kwa ajili ya wachuuzi wadogodogo.Baada ya serikali kuhamia Dodoma kuna majengo mengi sana kule posta hayana kazi mfano wizara ya afya , wizara ya ardhi, wizara ya fedha nk.
Serikali iwapatie TFF jengo mojawapo wafanye shughuli zao kama ofisi , wawapatie na ekari kadhaa za ardhi nje ya mji kwa ajili ya kujenga uwanja wa mpira, ule uwanja ugeuzwe kituo cha kibiashara kiunganishwe na machinga complex, machinga wa kariakoo wahamie Karume uwanjani
Uko sahihi pale hapastahili kuwa ofisi za RC,posta majengo ya seeikali yamejaa popoMkuu, hata ofisi za RC na DC Ilala nazo zingepaswa pia kuondolewa pale zilipo hivi sasa ili kupisha ujenzi wa soko la kisasa kwa ajili ya wachuuzi wadogodogo.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Mbona nimesikia wanalivunjaHIVI UJENZI AU SIJUI NI MAREKEBISHO SOKO LA KARIAKOO YATAANZA LINI?
Ndio wapiga kura!
Muulize Aida wa Nkasi!Kura zina kazi gani?
Wazo muruaBaada ya serikali kuhamia Dodoma kuna majengo mengi sana kule posta hayana kazi mfano wizara ya afya , wizara ya ardhi, wizara ya fedha nk.
Serikali iwapatie TFF jengo mojawapo wafanye shughuli zao kama ofisi , wawapatie na ekari kadhaa za ardhi nje ya mji kwa ajili ya kujenga uwanja wa mpira, ule uwanja ugeuzwe kituo cha kibiashara kiunganishwe na machinga complex, machinga wa kariakoo wahamie Karume uwanjani