Ushauri kuhusu magari

Ushauri kuhusu magari

Malunkwi

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
338
Reaction score
80
Wadau, nataka kuagiza gari nimeingia kwenye mtandao nimeipenda Corola Spacio, sasa nimepata gari 2 ambazo kwa muonekano wa nje ni kama zinafanana, bei na mileage pia hazitofautiani sana. Tofauti ipo kwenye CC moja ina CC1800 4WD ya 2003 na nyingine ni 2WD ina CC1500 ya 2004 nataka kujua Advantages na
disadvantages za Kuwa na gari yenye Cc kubwa Vs Cc ndogo interms of fuel consuption na mambo mengineyo. Karibuni wataalam
 
Wadau, nataka kuagiza gari nimeingia kwenye mtandao nimeipenda Corola Spacio, sasa nimepata gari 2 ambazo kwa muonekano wa nje ni kama zinafanana, bei na mileage pia hazitofautiani sana. Tofauti ipo kwenye CC moja ina CC1800 4WD ya 2003 na nyingine ni 2WD ina CC1500 ya 2004 nataka kujua Advantages na
disadvantages za Kuwa na gari yenye Cc kubwa Vs Cc ndogo interms of fuel consuption na mambo mengineyo. Karibuni wataalam

CC 1800 inakula mafuta ukilinganisha na CC 1500

4WD ina nguvu ukilinganisha na 2WD,utakapo tembea kwenye barabara zenye matope na milimani

Wengine watachangia na kunisahihisha kama sipo sawa.
 
CC 1800 inakula mafuta ukilinganisha na CC 1500

4WD ina nguvu ukilinganisha na 2WD,utakapo tembea kwenye barabara zenye matope na milimani

Wengine watachangia na kunisahihisha kama sipo sawa.

Asante mkuu nimekusoma
 
4wd kwa mjini haikufai itakugharimu mafuta ya ziada tu na hizo cc tofauti yake kwenye fuel consumtion ni ndogo.
 
Consumption ya mafuta kwa gari la ya CC 1500 na ile ya cc 1800 ni ndogo, kwa mjini huna haja ya 4WD, gari ya cc 1800 ina nguvu tofauti na cc 1500/
 
Inategemea na mazingira unayotaka kutumia. Kama ni town barabara nzuri nunua cc1500 2WD, lakini kama unatumia kwenye barabara korofi go for 4WD
 
CC 1800 inakula mafuta ukilinganisha na CC 1500

4WD ina nguvu ukilinganisha na 2WD,utakapo tembea kwenye barabara zenye matope na milimani

Wengine watachangia na kunisahihisha kama sipo sawa.
hiyo 4wd inakula Mafuta zaidi kwani nyingi zake huwa ni fulltime 4wd.
 
Inategemea na mazingira unayotaka kutumia. Kama ni town barabara nzuri nunua cc1500 2WD, lakini kama unatumia kwenye barabara korofi go for 4WD

"well said"
wengi tunakaa maeneo yamabonde kwinama; mf; Kifulu, Mabwepande, Mbopo, Malamba-mawili, Kisukuru, na kwingineko... 4WD ni muhimu!
 
hiyo 4wd inakula Mafuta zaidi kwani nyingi zake huwa ni fulltime 4wd.

Kwa uelewa wangu nadhan kuwa 4wd unaweka unapotaka Mfano umepita kwenye matope unaamua kuweka 4wd ili uweze kupita kiurahic then ukishapita unarudisha 2wd, kama mengi ni full time 4wd bac hilo halinifai, nitachagua cc1500, asante mkuu
 
Back
Top Bottom