dumesuruali
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 287
- 621
Habari za mchana wakuu...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,,naomba nipate ushauri wenu kuhusu hili suala..
Nimemfungulia wife biashara ya vinywaji(soft drinks) kwa mtaji wa Tsh milioni mbili tu..
Sasa baada ya kwenda TRA kufanyiwa mkadirio wa mapato ameambiwa kwa kipindi cha mwezi wa saba(july 2019) mpaka mwezi wa kumi na mbili(december 2019) anatakiwa alipe Tsh 450,000/- ambapo kwa mwaka atatakiwa alipe Tsh 900,000/-
Hivi kweli biashara ya milioni mbili ulipie laki tisa kwa mwaka,,sasa hii ni biashara yetu au tunawafanyia biashara wao??
Nawasilisha..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,,naomba nipate ushauri wenu kuhusu hili suala..
Nimemfungulia wife biashara ya vinywaji(soft drinks) kwa mtaji wa Tsh milioni mbili tu..
Sasa baada ya kwenda TRA kufanyiwa mkadirio wa mapato ameambiwa kwa kipindi cha mwezi wa saba(july 2019) mpaka mwezi wa kumi na mbili(december 2019) anatakiwa alipe Tsh 450,000/- ambapo kwa mwaka atatakiwa alipe Tsh 900,000/-
Hivi kweli biashara ya milioni mbili ulipie laki tisa kwa mwaka,,sasa hii ni biashara yetu au tunawafanyia biashara wao??
Nawasilisha..