Kizinga mpemba
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 218
- 194
Akikaribia siku zake tumbo linamuuma kwa chini upande wa kushoto na akimaliza hedhi bado linaendelea mpaka wiki inafika.
Je, nini itakuwa tatizo wataalam?
Je, nini itakuwa tatizo wataalam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wanaofanya hivi ndio wanashombo ukeni? Kuna wanawake khaaaa! Puuuuuuumwambie ajaribu kuingiza majivu kwenye k yake kila aingiapo kwny ck zake
Mirija ya falopian ni mwembamba mwambie Azae tuAkikaribia ssiku zake tumbo linamuuma kwa chini upande Wa kushoto na akimaliza hedhi bado linaendelea mpaka wiki inafika
Akikaribia ssiku zake tumbo linamuuma kwa chini upande Wa kushoto na akimaliza hedhi bado linaendelea mpaka wiki inafika
Kweme ndio nn Mkuu??Huyo ana chango la uzazi
Dawa yake uji wa mihogo uliochanganywa na kweme Wasambaa mpo?