Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nimevutiwa sana na hizi gari hasa yenye CC tajwa hapo juu, je ulaji wake wa mafuta ukoje, na upatikanaji wa spea na ukoje? technical problems, if any?
thanks
cc: Zanzibar Spices
Spare zake zipo chache na hivyo ni ghali. Na pia sio mafundi wengi wanaiweza hiyo gari. Maana kuna mshkaji wangu anayo inamsumbua sana.
....
cc: Zanzibar Spices
Dah sasa jamani mnanichanganya, ninunue au nisinunue
maana ya cc:.....
kwa kiswahili wanasema inaitwa nakala kwa: .....
Nilivyoelekezwa_ni kuwa ukiletewa barua na ukakutwa umewekwa kwenye kundi la cc:.... basi wewe unakuwa umepewa taarifa tu hautakiwi kuijibu bali anayetakiwa kuijibu ni yule mwenye anwani ya mtumiwa(receiver).
Sasa...ninauliza, je. Hapa JF kanuni ni hiyo hiyo ndiyo inayotumika wakati wa kutumia cc:.....?
Nimeuliza hili...maana matumizi ya cc:.....jukwaani yamekuwa mengi na nina wasiwasi watumiaji wake wanatofautiana kuhusu usahihi wa cc:....na hili laweza kuleta mtafaruku usiyo wa lazima.
Ninayo kazi rahisi sasa ya kueleweka, kama na wewe hujawelewa maelezo hayo...!!Sidhani hata kama wewe mwenyewe utakuwa umejielewa, ulichoandika
Dah sasa jamani mnanichanganya, ninunue au nisinunue
Nunua bana.......chezea kitu cha benz wewe........ spea zipo nyingi tu..........
maana ya cc:.....
kwa kiswahili wanasema inaitwa nakala kwa: .....
Nilivyoelekezwa_ni kuwa ukiletewa barua na ukakutwa umewekwa kwenye kundi la cc:.... basi wewe unakuwa umepewa taarifa tu hautakiwi kuijibu bali anayetakiwa kuijibu ni yule mwenye anwani ya mtumiwa(receiver).
Sasa...ninauliza, je. Hapa JF kanuni ni hiyo hiyo ndiyo inayotumika wakati wa kutumia cc:.....?
Nimeuliza hili...maana matumizi ya cc:.....jukwaani yamekuwa mengi na nina wasiwasi watumiaji wake wanatofautiana kuhusu usahihi wa cc:....na hili laweza kuleta mtafaruku usiyo wa lazima.
Sidhani hata kama wewe mwenyewe utakuwa umejielewa, ulichoandika
Mkuu nunua hizo gari especially kama uko Dar, kuhusu engine ziko mara mbili sikumbuki specs vizuri ila kuna mtu anayajua vizuri sana naweza kukupa namba yake PM.
Ila ukweli wa wazi ni kuwa spare haitaki hela ya mawazo hapo!!
"Germany techn. has never disappointed anybody so far"!!!!