watumiaji wa toyota utawajua tu! we nunua tu kama spea adimu utaagiza ulaya!
Umesoma post namba 9 huyo jamaa ndio kamaliza kabisa.
Nimemuona......... hajui tuna Puma na Amarok.............
Side mirror ya amarok 4 ml.
Na ndio gari ya shamba.........coz ni pick up.........
kwani ni nini bana............
Na ndio gari ya shamba.........coz ni pick up.........
kwani ni nini bana............
haya bana....
Halafu wewe......mbona hukuja tena....nikajaza hiyo gari mafuta bure hukutokea.........🙁