Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,411
- 4,777
Habari zenu,
Nina mtoto wa kiume wa umri wa miezi mitatu na wiki mbili. Tangu nimejifungua sikupata maziwa siku tatu mfululizo kwahiyo alikuwa anapewa maji tu mpaka maziwa yalivyotoka.
Mtoto si mnyonyaji saana akinyonya titi moja basi lingine hataki mpaka wakati mwingine na nikimlazimisha anakua kama anataka kutapika, je ni kwamba bado hajaujua utamu wa nyonyo au ni uvivu? Hii imepelekea mimi kupunguza unywaji wa vitu vyepes kwani maziwa yanajaa sana nafanya kukamua namwaga
Wakati wa kulala nilishauriwa alale kwa tumbo.. Cha ajabu halali mda mrefu ila nikimlaza ubavu nakuta kajipindua kalala kwa mgongo ...kuna athari zozote juu ya hilo?
Tatu, hataki kubebwa kitoto toto wala kufunikwa mikono... Anapenda awekwe begani au aegemezwe kama anakaa, je ni wakati sahihi wa kukaa au umri bado?
Nne nahitaji kudhibiti tabia ya kunyonya kidole... Nitumie mbinu gani?
NB: Mimi ni mama mpya so nina meengi ya kujifunza kuhusu watoto.
KARIBUNI KWA USHAURI
Nina mtoto wa kiume wa umri wa miezi mitatu na wiki mbili. Tangu nimejifungua sikupata maziwa siku tatu mfululizo kwahiyo alikuwa anapewa maji tu mpaka maziwa yalivyotoka.
Mtoto si mnyonyaji saana akinyonya titi moja basi lingine hataki mpaka wakati mwingine na nikimlazimisha anakua kama anataka kutapika, je ni kwamba bado hajaujua utamu wa nyonyo au ni uvivu? Hii imepelekea mimi kupunguza unywaji wa vitu vyepes kwani maziwa yanajaa sana nafanya kukamua namwaga
Wakati wa kulala nilishauriwa alale kwa tumbo.. Cha ajabu halali mda mrefu ila nikimlaza ubavu nakuta kajipindua kalala kwa mgongo ...kuna athari zozote juu ya hilo?
Tatu, hataki kubebwa kitoto toto wala kufunikwa mikono... Anapenda awekwe begani au aegemezwe kama anakaa, je ni wakati sahihi wa kukaa au umri bado?
Nne nahitaji kudhibiti tabia ya kunyonya kidole... Nitumie mbinu gani?
NB: Mimi ni mama mpya so nina meengi ya kujifunza kuhusu watoto.
KARIBUNI KWA USHAURI