Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,411
- 4,777
- Thread starter
-
- #21
Kwanza hongera sana shemkwe sikujua kumbe umekuwa mama sasa eenh...
Duh!! Nimejikuta nashangaa hapo kwenye kupewa maji mtoto mdogo wa masiku kadhaa...very strange na si nzuri kitabibu....
Kwa wenzetu waliondelea huwa mtoto anapewa 'donors milk' au 'newborn formulas' hadi mama atapoanza kutoa maziwa vizuri...
Watoto wa kiume si wavivu kula, huyu bwana mdogo mbona awa hivyo tena!!!
Je unapomaliza kumnyonyesha huwa unamuweka begani na kumpiga piga, papasa mgongo wake ili acheue?
Mtoto asipocheua huwa analia na unapomlazimisha zaidi kula huwa anatapika...
Kama unaona bado anakuwa mbishi kunyonya basi unaweza yakamua maziwa na kuhifadhi kwa jokofu...
Then uwe wampatia kwa chupa, huenda akakubali kunywa kwa chupa...
Maziwa ndani ya jokofu hukaa siku 5 kabla ya kuwa spoilled...na kama ukiyafreeze yanakaa muda mrefu zaidi maana huweza kukaa hadi miezi 5...
Hili lisikupe tabu, huenda anataka kuwa huru hivyo alivyo...
Si wakati sahihi wa kukaa...
Isipokuwa unaweza kumuegemeza katika namna ambayo ni nusu kulala nusu kukaa...
Umejaribu kutumia 'pacifier'?
Asante shemkwe... za masiku tele?
Hua namuweka begani na anacheua bila tatizo
Chupa Nilijaribu kumpa nayo ila anang'ta tu ile chuchu na havuti ng'o
Pacifier nayo Nilijaribu akaigomea, nikiweka kinywani tu anaitema
Nilipewa maj fulani iv katika chupa... Ladha yake ina sukari kwa mbaali...Yani km maziwa iv
Now ana 4 months nimeanza kuona kasi ya kunyonya