Ushauri kuhusu mtoto wangu, Mimi ni Mzazi mpya


Asante shemkwe... za masiku tele?

Hua namuweka begani na anacheua bila tatizo

Chupa Nilijaribu kumpa nayo ila anang'ta tu ile chuchu na havuti ng'o

Pacifier nayo Nilijaribu akaigomea, nikiweka kinywani tu anaitema

Nilipewa maj fulani iv katika chupa... Ladha yake ina sukari kwa mbaali...Yani km maziwa iv

Now ana 4 months nimeanza kuona kasi ya kunyonya
 
hongera baba BAK
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…