Usipanic buana nakutania
Member
- Mar 12, 2021
- 95
- 109
[emoji38][emoji38]Inalipa Sana hyo mambo mkuu[emoji39] Anza na Qnet wazee wa good morning hata usku , na ni wadhamini wa Manchester city , soon wananyakua kikombe cha EPL.....usisikilize wabongo , sku zote kwenye mchongo wa hela lazima wakupinge ..... Usinisahau mkuu kwneye huo ubilionare ....
Kwamba??Tusubilicl kilio
Watakaojiunga na QnetKwamba??
Hahah kwa hyo ushauri wako ni huo mkuu?Watakaojiunga na Qnet
Nitafanya hivyo mkuuHumu humu JF, click kwenye "search" then type Qnet. Alaf anza kupitia hizo nondo mdogo mdogo.
Kwa nini mkuu??Hahaha Kazi Kweli Kweli
Bora nikacheze Biko
Kuna kampuni tofauti na hiyo??Humu humu JF, click kwenye "search" then type Qnet. Alaf anza kupitia hizo nondo mdogo mdogo.
Hii bado ipo???Watakaojiunga na Qnet