larryone30
New Member
- May 6, 2019
- 4
- 2
Habari wa ndugu
Mimi nimfugaji wa ng'ombe, jana ng'ombe alizaa ndama bila hata msaada wowote yaani kusaidiwa kuvuta ndama, na tayari kondo limetoka.
Leo nimerudi kazini nimekuta ng'ombe(mama) amelala chini tu, nimejaribu kumshtua aamke ameshindwa lakini anajitahidi kutaka kuamka.
Naomba ushauri nifanye nini maana daktari anayemtibu simpati kwenye simu.
Naombeni mnisaidie huduma ya kwanza.
Mimi nimfugaji wa ng'ombe, jana ng'ombe alizaa ndama bila hata msaada wowote yaani kusaidiwa kuvuta ndama, na tayari kondo limetoka.
Leo nimerudi kazini nimekuta ng'ombe(mama) amelala chini tu, nimejaribu kumshtua aamke ameshindwa lakini anajitahidi kutaka kuamka.
Naomba ushauri nifanye nini maana daktari anayemtibu simpati kwenye simu.
Naombeni mnisaidie huduma ya kwanza.