Ushauri kuhusu perfume(Ematscents)

Ushauri kuhusu perfume(Ematscents)

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Nataka nichukue hizi mbili, Dapper Man na Royalty
1000327006.jpg

1000327021.jpg


Kama ushawahi kutumia hizi perfume za Ematscents nipe madini....
 
Nataka nichukue hizi mbili, Dapper Man na Royalty
View attachment 3062372
View attachment 3062375

Kama ushawahi kutumia hizi perfume za

Nataka nichukue hizi mbili, Dapper Man na Royalty
View attachment 3062372
View attachment 3062375

Kama ushawahi kutumia hizi perfume za Ematscents nipe madini....
Mimi ni moja kati ya wateja loyal wa huyo bwana toka yuko makumbusho...ukweli anauza jina...hamna perfume hapo ni takataka kabisa
 
Mimi ni moja kati ya wateja loyal wa huyo bwana toka yuko makumbusho...ukweli anauza jina...hamna perfume hapo ni takataka kabisa
Mmh sawa, kuna kipindi kama cha wiki moja hv nilikuwa natumia perfume yao moja inaitwa Gentleman(haikuwa yangu), nilikuwa nasifiwa sana, nikawaza maybe hawa jamaa wana kitu ngoja nijaribu perfume zao.

Bado unaendelea kutumia?
 
Back
Top Bottom