Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Nataka nichukue hizi mbili, Dapper Man na Royalty
View attachment 3062372
View attachment 3062375
Kama ushawahi kutumia hizi perfume za
Mimi ni moja kati ya wateja loyal wa huyo bwana toka yuko makumbusho...ukweli anauza jina...hamna perfume hapo ni takataka kabisaNataka nichukue hizi mbili, Dapper Man na Royalty
View attachment 3062372
View attachment 3062375
Kama ushawahi kutumia hizi perfume za Ematscents nipe madini....
Mmh sawa, kuna kipindi kama cha wiki moja hv nilikuwa natumia perfume yao moja inaitwa Gentleman(haikuwa yangu), nilikuwa nasifiwa sana, nikawaza maybe hawa jamaa wana kitu ngoja nijaribu perfume zao.Mimi ni moja kati ya wateja loyal wa huyo bwana toka yuko makumbusho...ukweli anauza jina...hamna perfume hapo ni takataka kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni moja kati ya wateja loyal wa huyo bwana toka yuko makumbusho...ukweli anauza jina...hamna perfume hapo ni takataka kabisa