waheshimiwa
naomba ushauri
nataka ninunue solar kwa ajili ya nyumba yangu ya vumba 4
matumizi yangu ya awali ni: Friji, pasi, tv, radio, taaa,
sijavuta bado umeme wa Tanesco lakini nataka nianze na hiyo solar
je nahitaji kuwa na bajeti ya kiasi gani?
je mnaweza kunshauri ninunue solar ya aina gani kwa matumizi hayo
je mnaweza kunshauri kampuni zipi zinaweza kunipa huduma bora zaidi
mambo yakiwa supa bas hamna shaka naweza kuongeza solar ya kupasha maji moto ya kuoga (lakini kwa sasa hiyo haipo kwenye mahesabu
naomba ushauri
nataka ninunue solar kwa ajili ya nyumba yangu ya vumba 4
matumizi yangu ya awali ni: Friji, pasi, tv, radio, taaa,
sijavuta bado umeme wa Tanesco lakini nataka nianze na hiyo solar
je nahitaji kuwa na bajeti ya kiasi gani?
je mnaweza kunshauri ninunue solar ya aina gani kwa matumizi hayo
je mnaweza kunshauri kampuni zipi zinaweza kunipa huduma bora zaidi
mambo yakiwa supa bas hamna shaka naweza kuongeza solar ya kupasha maji moto ya kuoga (lakini kwa sasa hiyo haipo kwenye mahesabu