Mwaipaja ima
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 404
- 76
Duh huku ni kuwadhalilisha watanzania wenye taaluma ya michezo.
Hao wanaotoka nje wameleta nini kipya?
Baadae mtashauri na viongozi wa TFF watoke nje.
wala hawadhalilishi, kama watu waendeleza na mapenzi na timu nyingine na hiyo wanayofanyi kazi wanini kuwa nao..!? ajili wacongo,waghana,mali,cameroon,wafaransa..... na hakitoka hapo angie kwenye kuwashawishi kichefuchefu waweke sheria ya kununua wachezaji wowote wa kigeni na wacheze wowote wale.ili aje kuondoa na wachezaji wa kibongo wenyemapenzi na timu nyingine.
Umesahau kama hata huyo mwenyewe ana kadi ya uanachama wa timu ya SIMBA?!ajili wataalam wa mpira wa nje kama ulivyoajili kwenye viwanda vyako achana na wabongo wenye ushabiki wa usimba na uyanga