Mwaipaja ima
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 404
- 76
Ondoa viongozi wote ambao ni wa Tz kwenye timu yako ya mpira na utangaze nafasi za kazi kwa wataalamu wa mpira kutoka nje ya Tanzania,ikiwa kweli kama unania ya hapo baadae kuwa na timu bora africa na duniani,umeonyesha nia ila viongozi wa timu ambao ni wa tz wanakuangusha,
Naamini uwezo unao wa kutenda haya
Naamini uwezo unao wa kutenda haya