Ushauri kwa CHADEMA anzisheni Trust Fund

Ushauri kwa CHADEMA anzisheni Trust Fund

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Hii Chadema ya Lissu ni tofauti sana na Chadema ya Mbowe hasa kwenye njia za kupata pesa. Lissu na team yake wanataka Chadema iwe ya kisasa pamoja na mengi ushauri wangu ni huu

Fungueni Chadema Trust Fund ambayo iwe na account yake maalumu ya uwekezaji nashauri pale UTT. Hii trust fund watafanya utaratibu maalumu wa matumizi na utoaji wa pesa.

Tafuteni Tsh Bilioni 10-20 hata kama hamtapata yote anzeni na hicho pesa hii mtapata kwa . Hii haihusishi ruzuku

1. Wanachana na michango
2. Diaspora
3. Vyama rafiki vya kimataifa

Wekeni pesa UTT ambayo itawapa 10%~12% faida kila mwaka ya kujenga chama kila mwaka kwenye mapato mbakize 3% mfano mkipata 11% chukuweni 8% na 3% inabaki kukuza account

Baada ya miaka mitano mtakuwa mnajitegemea
 
We unaambiwa hawa watu wakiona hata unakula kuku wanasema unakula Rushwa, hiyo Bilioni watapata wapi?

Sio Rahisi kufanya biashara na ku ji asscoiate na watu wa namna hii mzee ...

Watakuvuruga na simshauri mfanyabiashara yeyote ajiunge na michango kwa hawa watu.... Utapakwa matope mpaka uhame nchi...

Issue za michango ndio kitu wanaweza, .. waoombeee mpaka waelewe siasa ni pesa itakuwa baadae sana...

Hiyo groupe of jobless lawyers hapo ni suala la muda kila mmoja ataanza kutafuta maslah yake drama za ubunge 2025 zikishindikana.
 
We unaambiwa hawa watu wakiona hata unakula kuku wanasema unakula Rushwa, hiyo Bilioni watapata wapi?

Sio Rahisi kufanya biashara na ku ji asscoiate na watu wa namna hii mzee ...

Watakuvuruga na simshauri mfanyabiashara yeyote ajiunge na michango kwa hawa watu.... Utapakwa matope mpaka uhame nchi...

Issue za michango ndio kitu wanaweza, .. waoombeee mpaka waelewe siasa ni pesa itakuwa baadae sana...

Hiyo groupe of jobless lawyers hapo ni suala la muda kila mmoja ataanza kutafuta maslah yake drama za ubunge 2025 zikishindikana.
Chama hiki kitakuwa na maneno mengi uchangiaji zero.
 
groupe of jobless lawyers
Una chuki sana, jobless kwamba nani hapo hana law chamber yake? Huyo Lissu alishakua na LEAT tokea 90s huko followed na numerous projects za kisheria na Chambers. So unaposema jobless lawyer unamaanisha nini?

Hii sio chadema ya Mbowe, huyu ni msomi wa Warwick so sidhani unaweza ku reason kuliko YEYE!! So punguza ujuaji usubiri utekelezaji
 
Una chuki sana, jobless kwamba nani hapo hana law chamber yake? Huyo Lissu alishakua na LEAT tokea 90s huko followed na numerous projects za kisheria na Chambers. So unaposema jobless lawyer unamaanisha nini?

Hii sio chadema ya Mbowe, huyu ni msomi wa Warwick so sidhani unaweza ku reason kuliko YEYE!! So punguza ujuaji usubiri utekelezaji
Mimi sio mjuaji najua kweli,

University ya Warwick acceptance rate yake hata kilaza wa St John anasoma..

Law chamber unashindwa kununua gari unaitisha mchango nchi nzima...? embu nipishe bwana
 
Hii Chadema ya Lissu ni tofauti sana na Chadema ya Mbowe hasa kwenye njia za kupata pesa. Lissu na team yake wanataka Chadema iwe ya kisasa pamoja na mengi ushauri wangu ni huu

Fungueni Chadema Trust Fund ambayo iwe na account yake maalumu ya uwekezaji nashauri pale UTT. Hii trust fund watafanya utaratibu maalumu wa matumizi na utoaji wa pesa.

Tafuteni Tsh Bilioni 10-20 hata kama hamtapata yote anzeni na hicho pesa hii mtapata kwa . Hii haihusishi ruzuku

1. Wanachana na michango
2. Diaspora
3. Vyama rafiki vya kimataifa

Wekeni pesa UTT ambayo itawapa 10%~12% faida kila mwaka ya kujenga chama kila mwaka kwenye mapato mbakize 3% mfano mkipata 11% chukuweni 8% na 3% inabaki kukuza account

Baada ya miaka mitano mtakuwa mnajitegemea
Wazo zuri, ili mradi tukichanga pesa ziende sehemu sahihi. Na isitokee Lisu kuanza kusema yeye ndio anakikopesha chama.
Lusungo
 
Hii Chadema ya Lissu ni tofauti sana na Chadema ya Mbowe hasa kwenye njia za kupata pesa. Lissu na team yake wanataka Chadema iwe ya kisasa pamoja na mengi ushauri wangu ni huu

Fungueni Chadema Trust Fund ambayo iwe na account yake maalumu ya uwekezaji nashauri pale UTT. Hii trust fund watafanya utaratibu maalumu wa matumizi na utoaji wa pesa.

Tafuteni Tsh Bilioni 10-20 hata kama hamtapata yote anzeni na hicho pesa hii mtapata kwa . Hii haihusishi ruzuku

1. Wanachana na michango
2. Diaspora
3. Vyama rafiki vya kimataifa

Wekeni pesa UTT ambayo itawapa 10%~12% faida kila mwaka ya kujenga chama kila mwaka kwenye mapato mbakize 3% mfano mkipata 11% chukuweni 8% na 3% inabaki kukuza account

Baada ya miaka mitano mtakuwa mnajitegemea
Good thinking
 
Hao watanzania wanaoshindwa lipia gloves wajifungue? Mna utoto mwingi sana
Ni kweli maana sio watanzania wengi wanauza unga. Nyie wauza unga hela ya gloves sio tatizo.
 
Ukitaka vichekesho kama hivi, fuatilia mada za mtoa mada.

Bilioni 10 sio kama mdomo, kila mtu anayo
 
We unaambiwa hawa watu wakiona hata unakula kuku wanasema unakula Rushwa, hiyo Bilioni watapata wapi?

Sio Rahisi kufanya biashara na ku ji asscoiate na watu wa namna hii mzee ...

Watakuvuruga na simshauri mfanyabiashara yeyote ajiunge na michango kwa hawa watu.... Utapakwa matope mpaka uhame nchi...

Issue za michango ndio kitu wanaweza, .. waoombeee mpaka waelewe siasa ni pesa itakuwa baadae sana...

Hiyo groupe of jobless lawyers hapo ni suala la muda kila mmoja ataanza kutafuta maslah yake drama za ubunge 2025 zikishindikana.
Mkuu badogo tu aujapataga akili hadi leo🤔
Ushakua mtu mzima sasa badilika umri uendane na akili kichwani ondoa ujinga.
 
Hii Chadema ya Lissu ni tofauti sana na Chadema ya Mbowe hasa kwenye njia za kupata pesa. Lissu na team yake wanataka Chadema iwe ya kisasa pamoja na mengi ushauri wangu ni huu

Fungueni Chadema Trust Fund ambayo iwe na account yake maalumu ya uwekezaji nashauri pale UTT. Hii trust fund watafanya utaratibu maalumu wa matumizi na utoaji wa pesa.

Tafuteni Tsh Bilioni 10-20 hata kama hamtapata yote anzeni na hicho pesa hii mtapata kwa . Hii haihusishi ruzuku

1. Wanachana na michango
2. Diaspora
3. Vyama rafiki vya kimataifa

Wekeni pesa UTT ambayo itawapa 10%~12% faida kila mwaka ya kujenga chama kila mwaka kwenye mapato mbakize 3% mfano mkipata 11% chukuweni 8% na 3% inabaki kukuza account

Baada ya miaka mitano mtakuwa mnajitegemea
Ushauri huu ni muhimu Sana, kwa sasa chadema ijengwe kitaasisi kwelikweli ...
 
Back
Top Bottom