Ushauri kwa CHADEMA ili TONE TONE ifanikiwe

Ushauri kwa CHADEMA ili TONE TONE ifanikiwe

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ili kampeni ya TONE TONE ifanikiwe, ni lazima iambatane na mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja na zaid yanayogusa watu wengi.

Kwa maneno mengine, ni lazima CHADEMA waonyeshe na watangaze uhusiano wa TONE TONE na maisha ya wananchi.

Kwa mfano, kampeni ya TONE TONE kuanzia kwenye mabongo ya mitandaoni na kwenye media iambataene na kauli mbiu mbalimbali kama:

1. Changing TONE TONE tupate Tume Huru ya Uchaguzi

2.Changia TONE TONE tupate katiba mpya

3. Changing TONE TONE kwa elimu bure mpaka vyuo vikuu

4. Changia TONE TONE leo kesho ufutiwe deni la Bodi ya Mikopo

5. Changia TONE TONE kwa huduma ya uhakika wa maji mpaka vijijini

6. Changia TONE TONE ukomeshe utekaji wa watu wasiojulikana

7. Mfanyakazi changia TONE TONE uondokane na mzigo mkubwa wa PAYE,

8. Mtanzania Changia TONE TONE uondokane na kero ya tozo

9. Mstaafu changia TONE TONE uondokane na kikokotoo,.

10. Vijana msio na ajira, changia TONE TONE leo, kesho update ajira.

11. Changia TONE TONE kuokoa bandari zetu na mbuga zetu, n.k

Hiyo ni mifumo michache tu ya namna ambayo kampeni ya TONE TONE inaweza kuendeshwa kwa namna ambayo itagusa na kushawishi wananchi.

NO REFORMS, NO ELECTION, inabeba yote hayo, ila sio watanzania wengi wanaweza kuelewa benefits za Uchaguzi huru katika maisha(uhusiano uliopo baina ya maisha yao na uchaguzi huru na wa haki).
 
Ili kampeni ya TONE TONE ifanikiwe, ni lazima iambatane na mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja na zaid yanayogusa watu wengi.

Kwa maneno mengine, ni lazima CHADEMA waonyeshe na watangaze uhusiano wa TONE TONE na maisha ya wananchi

Kwa mfano, kampeni ya TONE TONE kuanzia kwenye mabongo ya mitandaoni na kwenye media iambataene na kauli mbiu kama:

1. Changing TONE TONE tupate Tume Huru ya Uchaguzi
2.Changia TONE TONE tupate katiba mpya
3. Changing TONE TONE kwa elimu bure mpaka vyuo vikuu
4. Changia TONE TONE leo kesho ufutiwe deni la Bodi ya Mikopo
5. Changia TONE TONE kwa huduma ya uhakika wa maji mpaka vijijini
6. Changia TONE TONE ukomeshe utekaji wa watu wasiojulikana
7. Mfanyakazi changia TONE TONE uondokane na mzigo mkubwa wa PAYE,
8. Mtanzania Changia TONE TONE uondokane na kero ya tozo
9. Mstaafu changia TONE TONE uondokane na kikokotoo, n.k

Hiyo ni mifumo michache tu ya namna ambayo kampeni ya TONE TONE inaweza kuendeshwa kwa namna ambayo itagusa na kushawishi wananchi.

NO REFORMS, NO ELECTION, inabeba yote hayo ila sio watanzania wengi wanaweza kuelewa benefits za Uchaguzi huru katika maisha(uhusiano uliopo baina ya maisha yao na uchaguzi huru na wa haki).
Maoni mazuri haya.
 
Ili kampeni ya TONE TONE ifanikiwe, ni lazima iambatane na mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja na zaid yanayogusa watu wengi.

Kwa maneno mengine, ni lazima CHADEMA waonyeshe na watangaze uhusiano wa TONE TONE na maisha ya wananchi

Kwa mfano, kampeni ya TONE TONE kuanzia kwenye mabongo ya mitandaoni na kwenye media iambataene na kauli mbiu kama:

1. Changing TONE TONE tupate Tume Huru ya Uchaguzi
2.Changia TONE TONE tupate katiba mpya
3. Changing TONE TONE kwa elimu bure mpaka vyuo vikuu
4. Changia TONE TONE leo kesho ufutiwe deni la Bodi ya Mikopo
5. Changia TONE TONE kwa huduma ya uhakika wa maji mpaka vijijini
6. Changia TONE TONE ukomeshe utekaji wa watu wasiojulikana
7. Mfanyakazi changia TONE TONE uondokane na mzigo mkubwa wa PAYE,
8. Mtanzania Changia TONE TONE uondokane na kero ya tozo
9. Mstaafu changia TONE TONE uondokane na kikokotoo, n.k

Hiyo ni mifumo michache tu ya namna ambayo kampeni ya TONE TONE inaweza kuendeshwa kwa namna ambayo itagusa na kushawishi wananchi.

NO REFORMS, NO ELECTION, inabeba yote hayo ila sio watanzania wengi wanaweza kuelewa benefits za Uchaguzi huru katika maisha(uhusiano uliopo baina ya maisha yao na uchaguzi huru na wa haki).
Uko sahihi kabisa mkuu, ila kwenye elimu bure kwa upande wangu mimi nakupinga, hakuna kitu chenye thamani kinachotelewa bure. Elimu lazima igharamikiwe ili mzazi /mlezi afuatilie maendeleo ya mtoto na awe na uchungu. Elimu bure ni ujinga.
 
Nyongeza;
1. Changia TONE TONE kurudisha uhuru kamili wa Tanganyika unaomwezwa na visiwa vidogo vya Zanzibar.
2. Changia TONE TONE ili wezi na mafisadi ya rasilimali za nchi yashugulikiwe mchana na usiku.
3. Changia TONE TONE ili kuthibiti DENI la taifa linaloenda kutumbukiza watanganyika shimoni wasiweze kukuposheka Tena duniani.
 
Ili kampeni ya TONE TONE ifanikiwe, ni lazima iambatane na mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja na zaid yanayogusa watu wengi.

Kwa maneno mengine, ni lazima CHADEMA waonyeshe na watangaze uhusiano wa TONE TONE na maisha ya wananchi.

Kwa mfano, kampeni ya TONE TONE kuanzia kwenye mabongo ya mitandaoni na kwenye media iambataene na kauli mbiu mbalimbali kama:

1. Changing TONE TONE tupate Tume Huru ya Uchaguzi

2.Changia TONE TONE tupate katiba mpya

3. Changing TONE TONE kwa elimu bure mpaka vyuo vikuu

4. Changia TONE TONE leo kesho ufutiwe deni la Bodi ya Mikopo

5. Changia TONE TONE kwa huduma ya uhakika wa maji mpaka vijijini

6. Changia TONE TONE ukomeshe utekaji wa watu wasiojulikana

7. Mfanyakazi changia TONE TONE uondokane na mzigo mkubwa wa PAYE,

8. Mtanzania Changia TONE TONE uondokane na kero ya tozo

9. Mstaafu changia TONE TONE uondokane na kikokotoo,.

10. Vijana msio na ajira, changia TONE TONE leo, kesho update ajira.

11. Changia TONE TONE kuokoa bandari zetu na mbuga zetu, n.k

Hiyo ni mifumo michache tu ya namna ambayo kampeni ya TONE TONE inaweza kuendeshwa kwa namna ambayo itagusa na kushawishi wananchi.

NO REFORMS, NO ELECTION, inabeba yote hayo, ila sio watanzania wengi wanaweza kuelewa benefits za Uchaguzi huru katika maisha(uhusiano uliopo baina ya maisha yao na uchaguzi huru na wa haki).
Nakubaliana nawe
 
Back
Top Bottom