Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!


KUMBE MH RAIS ANAAHAKI KUKATAA MAANDAMANO NCHI MAANDAMO NCHI NZIMA KUMBE LENGO NI KUFANYA MAPINDUZI BADALA YA KUELEZEA MAPUNGUFU YA SERIKALI ILI YAREHEKEBISHWE...NADHANI VYOMBO VYA USALAMA VIANZE NA WEWE BEN SAANANE KWA KUTAKA KUTUMIA MAANDAMANO KUIPINDUA SERIKALA HALALI. KILA SIKU KWENYE KIKAO WEWE BEN SAANANE TUNABISHANA NA KUPISHANA JUU YA NIA HASA YA MAANDAMANO.HATUTAFANIKIWA KWA KUENDESHA VURUNGU NCHINI.
 
Pasco, Hizo sababu zako zote ndizo zinazofanya Chadema waseme kuwa inatosha. Tuweke ukuta ili Katiba isiendelee kuvunjwa na udikteta usiendelee kushamiri. Inatosha. Lazima kuwe na utawala wa sheria sasa. Inatosha. Lazima mihimili yote iwe sawa! Lazima wazalendo wa kweli wapinge hayo kwa nguvu bila woga! Namuunga mkono Magufuli kwa nia yake njema, lakini Chadema nao wana hoja!!!
 


Nimesoma yote.

Ila kipengele hicho nimejikuta nakirudiarudia kukisoma mara kadhaa, hata sijui kwanini nimefanya hivyo...
 
[emoji15] [emoji15]
 
Mchumi tumbo.....
 
Nasita kukuamini maana sikujui....

KAWAIDA UNAFANYA MAANDAMANO KABLA YA KUFIKA ENEO LA KUHUTUBIA.KWENYE KIKAO TULIBIASHANA NJISI YA KUMAGE PROCESS..JE WATU WAENDE KWENYE ENEO LA MIKUTANO BIAL KUFANYA MAANDAMANO AU WATU WAFANYE MAANDAMANO KWENDA KWENYE ENEO LA MKUTANO.WENGI WAKASEMA TUKIFANYA MAANADAMANO NA VYOMBO VYA HABARI VIKIWA VINGI NDO TUTAIBOMOA SERIKALI NA CCM KWANI KUANDAMANA KUNAAMSHA HAMASA.
 
It never occurred to me that Pasco is a coward! He's scared of being gassed or sprayed with that pepper water. He's afraid of dying as if he thinks everybody'll live for lever. You were born once and there's a day you'll die.

Tumechoka kudanganywa kama watoto wadogo, huyu mkakonko hawezi kutupelekesha hivi bila kuhojiwa. Yeye anasema hapa kazi tu (kazi zenyewe ziko wapi) sisi tunasema tuko ngagari (cuf) na tutapambana hadi kieleweke (cdm).

Magufuli sio mungu na hawezi kukomesha rushwa wakati anawalinda wezi wa Epa, Kiwira Coal Mines, Tegeta Escrow na huko kwenye vitalu vya gesi.

Tarehe 01 mwezi wa tisa mwaka 2016 operation UKUTA lazima itikise Tanzania. HERI KUFA WENGI ILI WATAOBAKI WAPATE MAISHA BORA
 
Ajaribu kufanya kwani na yeye atafanywa tu!!

The world is watching......na Tanzania ni sawa na tone la maji katikati ya maji ya bahari!!

I hope, umenipata.....n
Haki ya kwenda chooni ni haki ya msingi, darasani mwanafunzi akimtaarifu mwalimu mwenye dhamana kuwa anahitaji kwenda chooni akamkatalia kwa ubabe kisha akajisaidia kwenye nguo naye akamuadhibu na kumuumiza lazima atachukuliwa hatua..
Mikutano ipo kisheria, kuizuia kwa mdomo kibabe haikubaliki. Yeye atume tuu hao askari wake waue watu halafu tuone kama atapona.
Nimegundua hao wanao msapoti hawampendi, wanataka aishie pabaya kama viongozi wengine Afrika walio ishia Uholanzi.
Anashindwa nini kubadili kwanza sheria wakati anao wabunge wengi wa kusema ndiyo na sheria ikabadilika?
Tanzania ni sehemu ya dunia na inaangalia tuu nini kitatokea watie timu hapa. Asituharibie nchi bwana
 
Great words....


Mm nilizani IPTL ingetaifishwa na serekali kama bunge lilivyo adhimia....

Mm nilizan waliochukuwa Mapesa ya escrow thru Stanbank kwa marumbesa wangekuwa Jela sasahivi...lakin wapi?
 
Hebu nisaidie hivi kwenye Bajeti ya Mwaka huu 18% anatakiwa ailipe nani kwenye miamala ya Pesa
 
Lmza tumuadabishe inchi hii inaongozwa kwa sheria na ktba huwezi kuwaongoza watu wote milioni 40 ww peke yako bila msaada wa watu kutoka nje nchi hii ni kubwa kwan watu wakifanya siasa yy anazurika na nn au anapungukiwa na nini hv kuna tatzo gn watu wameenda kufanya mkutano wao police wakawa wanalinda na baada ya mkutano wakaondoka kwa mfano hapo nn utakua umepoteza vt vingine sio lazima utumie akili kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…