Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onyo la Jana linawatosha ila mwenye kuzalau mwiba mguu wake ukimharibikia ni shaur yake mwenyew.hata vitabu vya dini vimenena kabisa zieshimuni mamulaka za dunia sasa kama chadema wao siasa zao ni kupimana na dola haya sasa kazi kwenu nahis sasa mmempata wa saizi yenu.maana mnajifanya wajuaji sana
Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Lile vuguvugu tu la kwenda kusaidia polisi kuzuia mkutano wa ccm iliwashinda baada ya kupigwa mkwara mdogo vile. Hili la kukabiliana na dola mtaliweza wapi. Kumg'oa Rais Ikulu sio sawa na kupiga mswaki mkuu.Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.
Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"
Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.
He should be careful of what he wish for!
Ben, chadema ilishauzwa kwa fisadi mkuu, hata bila Rais kuwa mkali, hakuna mtanzania mkamilifu a ayewaelewa kwa tabia yenu ya kutetea wezi, mafisadi, na wakwepa kodi. Mwambie Mbowe arudishe gia riverse!!!Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.
Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"
Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.
He should be careful of what he wish for!
Mkuu Ben kiukweli mimi huwa nina wa admire watu mashujaa kama wewe wenye nia thabiti mioyoni mwao, kauli thabiti midomoni, mwao kama hizi kauli zako humu za one term lakini reality ni nyingine kabisa! .
Hili la one term hamalizi nililisikia kwa yule yule mhubiri ili tuu kuendelea kumdanganya 'jamaa yetu' kuwa ni yeye ndiye aliyeandikiwa, kiukweli hakuna kitu kama hicho na kwa kasi ya udikiteta ninavyoiona hata hiyo 2020 sijui kama tutahitaji uchaguzi wa rais na sisi wananchi tunaolitakia mema taifa hili tutaandamana nchi nzima ili kile kipengele cha ukomo wa two terms kiondolewe Magufuli aendelee tuu kama Nyerere mpaka achoke mwenyewe! .
Nimemuombea kwa Mungu na sio kwa mungu kwa sababu ni Mungu ndie aliyesema tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari na tumpe Mungu yaliyo ya Mungu.
Tembelea ule uzi wangu wa rais wa Tanzania ni yule tuu aliyepangwa na Mungu, maadam ni Magufuli, then ndiye aliyepangwa na Mungu, tuendelee kumuombea
Pasco
Ndoto za mchana. Mwacheni Magufuli aibadilishe Tanzania na Watanzania. Watanzania tulitaka mabadiliko. Njia ya Magufuli ndio njia. Mabadiliko hayaji bila maumivu. Msijidanganye.Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.
Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"
Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.
He should be careful of what he wish for!
Kwa nini uandamane ili upigwe? Rais kasema ni wakati wa KAZI TU. Ombeni resources za kufanya kazi badala ya kuandamana.Naisikitikia serikali kwa kujiingiza katika confrontation zisizo za lazima, kwa sababu katiba na sheria za nchi zinaruhusu mikutano ya kisiasa ya chama chochote chenye usajili nchini kufanya mikutano ktk mikoa yote ya nchi!. Hili liko wazi na wala siyo hisani ya mtu yoyote kuguarantee haki hii
Sheria haijasema walioshinda peke yake ndo wafanye mikutano katika majimbo yao.
Kwa jinsi ninavyoona, iwapo Watu wataandamana na ikatokea nguvu kutumika hadi kupoteza maisha ya wananchi, basi kuna hatari watu kupelekwa katika vyombo vya kimataifa kama the Hague kujibu mashtaka, kwa maana wananchi hao wanadai kilicho haki kwa mujibu wa sheria za vyama vya siasa kuhusu haki ya kufanya mikutano!
Ben,Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.
Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"
Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.
He should be careful of what he wish for!
chap...we are not that cowardiceBado hawajawai kuonja moto wa jiwe
Watu wanao kuita dikteta ikiwa wewe siyo dikteta
Nibora uwape moto wa udikteta
Ili liwe findisho .
HAWA JK KAWALEA SANA
WALI MTUKANA SANA
WALI MZONGA SANA
WACHA WAKIONE.
"Nataka hao wanaotetea maandamano watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’"
na wewe kumbe dictator unayepongeza madictaor wanaotesa wananchi wenye mawazo mbadala?Ben,
Acha kujidanganya na hizo drama zenu hii post yako ingekuwa nchi kama Zimbabwe au Turkey, Russia, sasa hivi ungekuwa kwenye chumba cha mateso uwa fahamishe kuhusu hii kauli yako nzuri upo Tanzania.
Comment za hovyo hivi huwa sizisomi ila hii nimejikuta bahati mbaya nimeisoma.. Tutawomba shule ya msingi mabatini darasa la tatu C wakuchangie japo akii kidogoBen, chadema ilishauzwa kwa fisadi mkuu, hata bila Rais kuwa mkali, hakuna mtanzania mkamilifu a ayewaelewa kwa tabia yenu ya kutetea wezi, mafisadi, na wakwepa kodi. Mwambie Mbowe arudishe gia riverse!!!
Pasco usipotoshe. Kinachoitwa separation of powers ni katika sub-system ya utawala - ndani (siyo nje) ya Bunge na Mahakama. Rais wa nchi ndiye Mkuu wa nchi na Serikali. Serikali ndiyo yenye mamlaka ya kuanzisha, kuratibu na kusimamia utekelezaji wa sera na sheria zote za nchi. Mahaakama na Bunge hukutana na Serikali (executive) katika eneo moja dogo katika kuendesha serikali - sheria (administration of justice). Bunge hutunga sheria wakati Mahakama hutafsiri sheria ili kutoa haki, basi. Si Mahakama wala Bunge mwenye mamlaka ya kutunga na tutekelea sera zake kwa namna watakavyo. Kwa hiyo uamuzi wa Serikali/JPM kudhibiti fiscal extravagance ulitakiwa kutekelezwa na Bunge na Mahakama bila kusita. It was a genuine, rightful, timely and constitutionally mandated supreme order.Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo bunge na mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kutimiza wajibu wao!
sijaelewe maana ya neno nililoli bold!!Kwani graduation tayari? Oplesheni UKATA ni ishara tosha kuwa bado ni wanaharakati