antjpm
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 673
- 640
Siku hao wazee wakifikiwa wataanza nawao kitoa matamko kama kwa maveterani wa Mugabe.Udikteta sio mchezo tutalia machozi ya damu.
QUOTE="king's lawyer, post: 17026535, member: 287834"]Lile BARAZA LA WAZEE LA CHAMA KILEEEEEE[emoji117],huwa linafanya kazi saa ngapi?wako macho?wanaona upepo mkali ukivuma?wanaona mwelekeo wa jahazi?kwakuwa sisi si wazoefu,tunatamani watuhakikishie safari.[/QUOTE]
QUOTE="king's lawyer, post: 17026535, member: 287834"]Lile BARAZA LA WAZEE LA CHAMA KILEEEEEE[emoji117],huwa linafanya kazi saa ngapi?wako macho?wanaona upepo mkali ukivuma?wanaona mwelekeo wa jahazi?kwakuwa sisi si wazoefu,tunatamani watuhakikishie safari.[/QUOTE]