Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Nadhani wengi humu hamjamuelewa Pasco, mimi nimemuelewa vizuri sana, inahitaji uwe ni mtu wa tafakuri ya kina ili kumuelewa Pasco.
Msiomuelewa Pasco iko hivi, IGP Omary Mahita, CDF Robert Mboma, Tiss DG Hans Kitine na Apson Mwang'onda na chief Judge Augustino Ramadhani hawa wote ni ccm na licha ya hizo nafasi kutokuwaruhusu kuwa kwenye siasa lakini waligombea.
Ila katika hao wote mwenye dhambi kuu ni Jaji/Padre Augustino Ramadhani ambaye ameinajisi mahakama kwa kitendo chake cha kukatwa jina tano bora na majina ya wahuni tu wengine yakapelekwa kupigiwa kura Nec.
Sina maneno mazuri ya kuwataka huyu mtu mumuelewe kivingine ila hata lugha ya picha hufikisha ujumbe pia.
Mapinduzi si lazima yawe ya kijeshi tu yapo ya kiraia pia tena kupitia sanduku la kura ili jumuiya za kimataifa zisikutenge.
Msiomuelewa Pasco iko hivi, IGP Omary Mahita, CDF Robert Mboma, Tiss DG Hans Kitine na Apson Mwang'onda na chief Judge Augustino Ramadhani hawa wote ni ccm na licha ya hizo nafasi kutokuwaruhusu kuwa kwenye siasa lakini waligombea.
Ila katika hao wote mwenye dhambi kuu ni Jaji/Padre Augustino Ramadhani ambaye ameinajisi mahakama kwa kitendo chake cha kukatwa jina tano bora na majina ya wahuni tu wengine yakapelekwa kupigiwa kura Nec.
Sina maneno mazuri ya kuwataka huyu mtu mumuelewe kivingine ila hata lugha ya picha hufikisha ujumbe pia.
Mapinduzi si lazima yawe ya kijeshi tu yapo ya kiraia pia tena kupitia sanduku la kura ili jumuiya za kimataifa zisikutenge.