Mkuu Gamba la Nyoka, atakachofanya Magufuli, ni kuwatumia the best of his snipers, wadunguaji wazuri, kwenye maandamano Kikwete alikuwa akishoot randomly ili kuogofya tuu, na waliokuwa wakiuwawa ni akina kaja.. nani!, kiukweli Magufuli, atawashikisha adabu kiukweli kweli haswa, kazi ya wadunguaji ni ku target vinara!, mkuu wa nchi hawezi kufikishwa the Hague kwa ku clear the mess ya kifo kimoja au viwili, na amini usiamini, wakiandamana tuu, watadunguliwa kwa risasi za moto, lakini taarifa ya polisi itasema walitumia rubber bullets, postmortem report itathibitisha hilo na mchezo, utakwisha.
Pasco