SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Tukiwa tunaelekea kwenye uzinduzi wa mikutano ya hadhara, kitu pekee ambacho ninawasihi na itakuwa jambo kubwa na la heri, ni kuzingatia muda na mikutano ianze mapema sana maana wazungumzaji ni wengi sana na tungependa tuwasikilize wote.
Pia msisahau kutupa matukio mubashara kupitia youtube
Pia msisahau kutupa matukio mubashara kupitia youtube