SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
- Thread starter
- #21
Hawa hawajawahi kuwa na hoja,ni vihoja na vitimbiHOJA chakavu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa hawajawahi kuwa na hoja,ni vihoja na vitimbiHOJA chakavu!
Ndiyo mje myasemeHOJA chakavu!
Chama makini kama CDM, hakiwezi kusimama na Kujadili personalities, Bali HOJA.Ndiyo mje myaseme
Sawa Mungu yupo anaonaChama makini kama CDM, hakiwezi kusimama na Kujadili personalities, Bali HOJA.
Watanzania Wana changamoto nyingi sana zinazotakiwa kuwasikishwa, muda huo haipo.
KAZI hizo Nape ndo anaziweza.
Ushahidi wa technology, huwezi jua mana huna uwezo huo! it is simple kuona mtu ameingia hapa saa ngapi na amekaa muda gani!Wewe unanionaga ukiwa wapi hiyo 24/7
We bavicha una roho ya kimaskini sana !
Hiyo ndio Kazi unayolipwa hapo Chadema kuchunguza wanaume wenzioUshahidi wa technology, huwezi jua mana huna uwezo huo! it is simple kuona mtu ameingia hapa saa ngapi na amekaa muda gani!
ukiona mtu anazidi , unajichimbia kumdadisi 😀 😀 😀 😀 😀Hiyo ndio Kazi unayolipwa hapo Chadema kuchunguza wanaume wenzio
Wewe ni mchagga wa ajabu sana!
Mdadisi Mbowe ujue kama ni mchagga au mnyasa wa Mbambabay kwa akina Oscar!ukiona mtu anazidi , unajichimbia kumdadisi 😀 😀 😀 😀 😀
sasa unaleta ukabil ambao ulipigwa marufuku na Nyerere ukarudishwa na Magufuli na sasa wewe una paliliaMdadisi Mbowe ujue kama ni mchagga au mnyasa wa Mbambabay kwa akina Oscar!
Ni utafiti tu bwasheesasa unaleta ukabil ambao ulipigwa marufuku na Nyerere ukarudishwa na Magufuli na sasa wewe una palilia
Chama cha mambuziHiyo ndio Kazi unayolipwa hapo Chadema kuchunguza wanaume wenzio
Wewe ni mchagga wa ajabu sana!
Usiwashangae hawa vijana wa Lumumba buku 7,ukiingia korido za Lumumba akili unaacha mlangoni.sasa unaleta ukabil ambao ulipigwa marufuku na Nyerere ukarudishwa na Magufuli na sasa wewe una palilia
Upinzani muwe mnasikiliza maoni ya wananchi… Mikutano ni Mwanza kila siku.. Siku ya ufunguzi mngewapa haki wanaotaka mabadiliko. Mngegawa kanda. Same Day mngefanya mikutano hata sita Dar/Pwani Nyanda za Juu Kusini Singida Moshi Dodoma au Morogoro Tabora Shinyanga mmeng’ang’ana na Mwanza nyie hayaTukiwa tunaelekea kwenye uzinduzi wa mikutano ya hadhara, kitu pekee ambacho ninawasihi na itakuwa jambo kubwa na la heri, ni kuzingatia muda na mikutano ianze mapema sana maana wazungumzaji ni wengi sana na tungependa tuwasikilize wote.
Pia msisahau kutupa matukio mubashara kupitia youtube