SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Nafsi kama nyie CCM.Unaelekea Mwanza halafu unataka urushiwe Mkutano mubashara kwa youtube?!!
Bavicha hampungukiwi vituko
Endelea kupiga ramli hiyo huwa ni hatua ya mwisho kabisa kuelekea kwenye uchawiUnaelekea Mwanza halafu unataka urushiwe Mkutano mubashara kwa youtube?!!
Bavicha hampungukiwi vituko
UVCCM wakizeeka wanakuwa wachawi by Mrisho GamboEndelea kupiga ramli hiyo huwa ni hatua ya mwisho kabisa kuelekea kwenye uchawi
Ccm hawana akiliHana ubi
nafsi kama nyie CCM.
Huyo ni bavicha mwenzakoUmeshajibu kamuonyeshe boss wako pale Lumumba upate posho ya siku
Maneno mengi kiswahili hujui. Asemapo "tukiwa tunaelekea kwenye mikutano ya hadhara" wewe kwa kiswahili chako cha kukijua ukubwani unatafsiri kuwa yuko safarini!Unaelekea Mwanza halafu unataka urushiwe Mkutano mubashara kwa youtube?!!
Bavicha hampungukiwi vituko
Hahaha.......sijawahi kuona Bavicha Mwenye makasiriko kama Wewe!Maneno mengi kiswahili hujui. Asemapo "tukiwa tunaelekea kwenye mikutano Mwanza" wewe kwa kiswahili chako cha kukijua ukubwani unatafsiri kuwa yuko safarini!
Punguza kuandika jikite kusoma ndio mbinu kuu ya kujielimisha.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Endelea kutumia hicho kichwa kama kabati la kuhifadhia menoHahaha.......sijawahi kuona Bavicha Mwenye makasiriko kama Wewe!
cc: Meku Daudi Mchambuzi - Machame
Na huko Furahisha mkaongee mizaha hiyo hiyo Dr Mjema anawazoom tu!Endelea kutumia hicho kichwa kama kabati la kuhifadhia meno
Kituko Ni wewe 24/7 uko JFUnaelekea Mwanza halafu unataka urushiwe Mkutano mubashara kwa youtube?!!
Bavicha hampungukiwi vituko
Wewe unanionaga ukiwa wapi hiyo 24/7Kituko Ni wewe 24/7 uko JF
Mnama ole mwala Gete ...BhageshiUnaelekea Mwanza halafu unataka urushiwe Mkutano mubashara kwa youtube?!!
Bavicha hampungukiwi vituko
Huna cha kutushauri baki na ujinga wakoNa huko Furahisha mkaongee mizaha hiyo hiyo Dr Mjema anawazoom tu!
Anaamka asubuhi anaaga nyumbani anaenda kazini,kazi yenyewe kushinda korido za Lumumba kuja kutetea upuuzi wa ccm jfKituko Ni wewe 24/7 uko JF
Kwani kuna tatizo gani akiwasemea walio mbali na mwanza?Unaelekea Mwanza halafu unataka urushiwe Mkutano mubashara kwa youtube?!!
Bavicha hampungukiwi vituko
Mje mtueleze pia kwa nini mlishangilia kifo cha JPMTukiwa tunaelekea kwenye uzinduzi wa mikutano ya hadhara, kitu pekee ambacho ninawasihi na itakuwa jambo kubwa na la heri, ni kuzingatia muda na mikutano ianze mapema sana maana wazungumzaji ni wengi sana na tungependa tuwasikilize wote.
Pia msisahau kutupa matukio mubashara kupitia youtube
Pole sana kwa msiba,mke wa marehemu kashamsahau mume wake ila wewe bado unaomboleza,hili ni tatizo la afya ya akiliMje mtueleze pia kwa nini mlishangilia kifo cha JPM
HOJA chakavu!Mje mtueleze pia kwa nini mlishangilia kifo cha JPM