Ushauri kwa chama cha ACT- Wazalendo na Maalim Seif Shariff Hamad

Ushauri kwa chama cha ACT- Wazalendo na Maalim Seif Shariff Hamad

Bro mimi naomba either kitabu au unisimulie kuhusu huyo rais wa SA enzi za Mandela
Mkuu yatatosha kusimulia hapa??

Njia rahisi ni kuingia Amazon na kununua kitabu cha maisha ya Nelson Mandela utakuta yooote haya yameelezwa.
 
Hivi ingekuwaje kama Maalim angekuwa kwenye SUK, halafu yakatokea haya ya kufukuzwa/kujitoa CUF na kuhamia ACT?
Pengine ya kufukuzwa/Kujitoa CUF yasingetokea.

Na hapa ndio ile hoja ya ni hasara kiasi gani imepatikana kwa Maalim na CUF kutokuwa ndani ya SUK since 2015
 
Astaghfirullah llahu al adhwim, alladhi laa ilaha illa Llah, al hayyu al qayyum.

Nafurahi kukubaliana nami kwamba Maalim hajamuandaa na kumtambulisha mrithi wake na time is not on his side.
Kama chama ,Maalim Seif kaandaa makomred wa kutosha watakao fanana na yeye ,pindi akistaaf au kupatwa na faradhi haitakuwa mwisho wa siasa za Kupigania Haki za Zanzibar,
kweli pengo litakuwepo lakini litazibwa kwa wengine wengi wa mfano wake.
Hii ni taasisi ,huwezi kumuandaa mtu wako makhsusi ,kufanya hivyo itakuwa usultani huo, bali itategemea Kura za wajumbe na watia nia watakaochukua fomu ya kuwania kiti chake pale atakapokuwa hayupo
Kwa hiyo usijali.
Akina sisi tulimjua Maalim tukiwa wadoogo, na Kumpenda na kumfuata na kujifunza mengi kwake
Leo na sisi tumeshakuwa na kutamani tuanze kazi ili nasi tuoneshe uwezo wetu, lakini si kwa Uwepo wake akiwa Kazini, bali tutasaidiana nae kwa sasa bega kwa bega kuendeleza harakati huku tukijua tuna mwega pembeni ,mtu mwenye karama nyingi tuu.
Bado tunamuamini na Tunaimaninaye kwa kuwa hajawahipo kutusaliti, na naamini hatofanyapo hivyo.
Yeye ni sehemu katika Nyoyo za watu kisiasa Zanzibari
 
Back
Top Bottom