Ushauri kwa Chama changu CCM,Hususan Dk Nchimbi; Saidia Chama na Taifa kwa Ujumla

Ushauri kwa Chama changu CCM,Hususan Dk Nchimbi; Saidia Chama na Taifa kwa Ujumla

Kimalingano

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2023
Posts
709
Reaction score
919
Nakujua Dk Nchimbi kwa uwezo wa ko wa kiakili na hekima uliyonayo. Kwa kutumia karama hizo ulizopewa na Mwenyezi Mungu,utashauri Chama kwa busara na hekima ulizo nazo ili nchi inusurike.

Wewe ndiye pekee kwenye Chama uliyebaki kuinusuru nchi hii.

Najua mtu yeyote akigombea urais kupitia CCM atashinda bila shida.Lakini kwa hali iliyopo ya kijamii,kisiasa na kiuchumi,chonde chonde nakuomba ufanye linalowesekana Mama asigombee 2025.Kwani ndani ya Chama na Serikali kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.

Utakuwa umelitendea haki Taifa hili na Chama chetu CCM.
 
Nakujua Dk Nchimbi kwa uwezo wa ko wa kiakili na hekima uliyonayo. Kwa kutumia karama hizo ulizopewa na Mwenyezi Mungu,utashauri Chama kwa busara na hekima ulizo nazo ili nchi inusurike.

Wewe ndiye pekee kwenye Chama uliyebaki kuinusuru nchi hii.

Najua mtu yeyote akigombea urais kupitia CCM atashinda bila shida.Lakini kwa hali iliyopo ya kijamii,kisiasa na kiuchumi,chonde chonde nakuomba ufanye linalowesekana Mama asigombee 2025.Kwani ndani ya Chama na Serikali kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.

Utakuwa umelitendea haki Taifa hili na Chama chetu CCM.
Unatuchokoza? Tutaruka na wewe ebo!
 
Nakujua Dk Nchimbi kwa uwezo wa ko wa kiakili na hekima uliyonayo. Kwa kutumia karama hizo ulizopewa na Mwenyezi Mungu,utashauri Chama kwa busara na hekima ulizo nazo ili nchi inusurike.

Wewe ndiye pekee kwenye Chama uliyebaki kuinusuru nchi hii.

Najua mtu yeyote akigombea urais kupitia CCM atashinda bila shida.Lakini kwa hali iliyopo ya kijamii,kisiasa na kiuchumi,chonde chonde nakuomba ufanye linalowesekana Mama asigombee 2025.Kwani ndani ya Chama na Serikali kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.

Utakuwa umelitendea haki Taifa hili na Chama chetu CCM.
Samia ni janga kwa hii nchi.... kuna uchafu wa kutisha sana unaendelea na soon hii nchi haitatamanika!!

Samia must go!! Yaani hii nchi kutoka kutawaliwa na greatest people kama akina Nyerere hadi kuangukia kwa akina Samia wanaoongozwa na watoto wao??

Yaani leo watanzania wanaongozwa na Abduli kweli?
 
Samia ni janga kwa hii nchi.... kuna uchafu wa kutisha sana unaendelea na soon hii nchi haitatamanika!!

Samia must go!! Yaani hii nchi kutoka kutawaliwa na greatest people kama akina Nyerere hadi kuangukia kwa akina Samia wanaoongozwa na watoto wao??

Yaani leo watanzania wanaongozwa na Abduli kweli?
Nyamaza ebo! Unaleta uzushi
 
Hilo halito wezekana kwasababu ya katiba/mila na desturi ya chama iliyo tengeneza sera ya awamu mbili.
Umesahau ile kauli ya chama kwamba zidumu fikra za mwenyekiti..🤔
 
Dk Nchimbi chonde chonde nakuomba ufanye Mama asigombee 2025, kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.
We Kima wee... Kimalingano, una maanisha nini kuhusu uwezo wa uongozi wa Rais Samia?. Unamaanisha ni asigombee 2025 kwasababu ni hana uwezo, au ni asigombee 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna watu wanauwezo zaidi yake?.

Kwani CCM huwa inamteua mgombea mwenye uwezo zaidi au anayekubalika zaidi?. Kati ya the top 3 finalists wa awamu ya JK, Prof. Mwandosya na Dr. Salim Salim, nani alikuwa na uwezo mkubwa kati yao?.

Karibu nyuzi hizi kuhusu uwezo wa Rais Samia
- Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa!. Hata Huyo Kuonyesha Uwezo na ...

P
 
Samia ni janga kwa hii nchi.... kuna uchafu wa kutisha sana unaendelea na soon hii nchi haitatamanika!!

Samia must go!! Yaani hii nchi kutoka kutawaliwa na greatest people kama akina Nyerere hadi kuangukia kwa akina Samia wanaoongozwa na watoto wao??

Yaani leo watanzania wanaongozwa na Abduli kweli?
Naunga mkono hoja
 
We Kima wee... Kimalingano, una maanisha nini kuhusu uwezo wa uongozi wa Rais Samia?. Unamaanisha ni asigombee 2025 kwasababu ni hana uwezo, au ni asigombee 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna watu wanauwezo zaidi yake?.

Kwani CCM huwa inamteua mgombea mwenye uwezo zaidi au anayekubalika zaidi?. Kati ya the top 3 finalists wa awamu ya JK, Prof. Mwandosya na Dr. Salim Salim, nani alikuwa na uwezo mkubwa kati yao?.

Karibu nyuzi hizi kuhusu uwezo wa Rais Samia

P
Pasko,CCM ina vipaji vya uongozi vingi sana.

Lakini vilevile,kwa Mtandao na uzoefu mkubwa wa CCM, mtu yeyote atayesimamishwa kugombea urais,hata ukiwa wewe,atashinda.

Ninachoongelea hapa siyo anatekubalika wala sisemi Mama hana uwezo kabisa.Ninachosema ni kwamba mambo yanaenda hovyo mno.Ampokee mwingine mwenye uwezo zaidi kama vile akina Nchimbi,Bashiru,Makonda,Polepole nk.
 
Nakujua Dk Nchimbi kwa uwezo wa ko wa kiakili na hekima uliyonayo. Kwa kutumia karama hizo ulizopewa na Mwenyezi Mungu,utashauri Chama kwa busara na hekima ulizo nazo ili nchi inusurike.

Wewe ndiye pekee kwenye Chama uliyebaki kuinusuru nchi hii.

Najua mtu yeyote akigombea urais kupitia CCM atashinda bila shida.Lakini kwa hali iliyopo ya kijamii,kisiasa na kiuchumi,chonde chonde nakuomba ufanye linalowesekana Mama asigombee 2025.Kwani ndani ya Chama na Serikali kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.

Utakuwa umelitendea haki Taifa hili na Chama chetu CCM.
Yeye mwenyewe anaishi kwa huruma ya Mwenyekiti
 
Nakujua Dk Nchimbi kwa uwezo wa ko wa kiakili na hekima uliyonayo. Kwa kutumia karama hizo ulizopewa na Mwenyezi Mungu,utashauri Chama kwa busara na hekima ulizo nazo ili nchi inusurike.

Wewe ndiye pekee kwenye Chama uliyebaki kuinusuru nchi hii.

Najua mtu yeyote akigombea urais kupitia CCM atashinda bila shida.Lakini kwa hali iliyopo ya kijamii,kisiasa na kiuchumi,chonde chonde nakuomba ufanye linalowesekana Mama asigombee 2025.Kwani ndani ya Chama na Serikali kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.

Utakuwa umelitendea haki Taifa hili na Chama chetu CCM.
 
Pasko,CCM ina vipaji vya uongozi vingi sana.

Lakini vilevile,kwa Mtandao na uzoefu mkubwa wa CCM, mtu yeyote atayesimamishwa kugombea urais,hata ukiwa wewe,atashinda.

Ninachoongelea hapa siyo anatekubalika wala sisemi Mama hana uwezo kabisa.Ninachosema ni kwamba mambo yanaenda hovyo mno.Ampokee mwingine mwenye uwezo zaidi kama vile akina Nchimbi,Bashiru,Makonda,Polepole nk.
Takataka kabisa hizi
 
Nakujua Dk Nchimbi kwa uwezo wa ko wa kiakili na hekima uliyonayo. Kwa kutumia karama hizo ulizopewa na Mwenyezi Mungu,utashauri Chama kwa busara na hekima ulizo nazo ili nchi inusurike.

Wewe ndiye pekee kwenye Chama uliyebaki kuinusuru nchi hii.

Najua mtu yeyote akigombea urais kupitia CCM atashinda bila shida.Lakini kwa hali iliyopo ya kijamii,kisiasa na kiuchumi,chonde chonde nakuomba ufanye linalowesekana Mama asigombee 2025.Kwani ndani ya Chama na Serikali kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.

Utakuwa umelitendea haki Taifa hili na Chama chetu CCM.
Amshauri Mama (MKiti wake) aachie kiti kwa amani kwani muda wake umemalizika na amesaidia alivyoweza. Akifanya hivyo ataheshimika daima. Mwl Nyerere alifanya hivyo hivyo kupisha wengine na anaendelea kuheshimika kwa kuachia madaraka bila kung'ang'ania.
 
Hilo halito wezekana kwasababu ya katiba/mila na desturi ya chama iliyo tengeneza sera ya awamu mbili.
Umesahau ile kauli ya chama kwamba zidumu fikra za mwenyekiti..🤔
Awamu mbili kwani huyo mama alikuwa mgombea wa urais?

Mi nadhani uchaguzi wa 2025 uwe ndio kama anaanza sasa kugombea. Na hivyo basi fomu zitolewe nyingi ili kuleta ushindani atakaepita ndiye huyo tutaamunga mkono. Kama ilivyokuwa 2015.
Watia nia wawe hata 100! Akipitishwa yeye bi kizimkazi, basi tutashukuru pia.

Watanzania tuko wengi sana aisee wwnye sifa za kuwa rais!
 
Pasko,CCM ina vipaji vya uongozi vingi sana.
Ninachoongelea hapa siyo anatekubalika wala sisemi Mama hana uwezo kabisa.Ninachosema ni kwamba mambo yanaenda hovyo mno.Ampokee mwingine mwenye uwezo zaidi kama vile akina Nchimbi,Bashiru,Makonda,Polepole nk.
Kwa hiyo wee Kima, Kimalingano unamaanisha Mama nchi imemshinda, hivyo atafutwe mwingine?.
P
 
Back
Top Bottom