Ushauri kwa Chama changu CCM,Hususan Dk Nchimbi; Saidia Chama na Taifa kwa Ujumla

Ccm wanapita mashuleni wanawalazimisha wanafunzi kupiniga picha na kuwapa card za chama

Wanawalazimisha watoto kuambatanisha kadi ya chama wanapoomba mikopo bodi ya mikopo

Hicho ndo chama chao dhaifu
 
Mm mwenzenu namkubari sana huyu mama. Upande wetu watumishi wa unma amefanya mengi sana. Hata hivyo naona aliyoyafanya kwa taifa Ili ni mengi sana. Tumuunge mkono Rais wetu. Samia 5 tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…