Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

hahahaha
halafu nirushie bas wimbo huo ni uskie [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

ila kakera sana
Ahahaaaa nakutumia link ukanunue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole jamani kwel kakukera masikini [emoji28] [emoji28]
 
Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.


Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.

Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
.

Wakati hao Clouds wana kazi ya kumtafutia kituko Mondi ili wauze umbea. Watakufa njaa.
 
Me toka siku ile j5 wamemualika DAB kwenye ofisi yao ndo nilirealize Mond sometimes huwa anapuyanga sana huyu dogo
 
Mimi bashite ata simpendi to begin with. Ana kiherehere sana. So uyo kibinda nkoi mie walaaaaa.[emoji16] [emoji16]
Ndio nmehama mkoa mondi ni mkali kwangu aiseee[emoji23] [emoji23]
mmmh!!
kumpenda kwako mondi kumenistua
thts too much
[emoji28]
 
Huko ulaya watu wanapenda msanii mpaka wanalia tunawaona wana upendo wa kweli.
Ahahaaaaaaa ila bongo ukimpenda msanii mtu anaanza kushtuka [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
huko ulaya
usha jisemea mwenyewe
 
Huyu kijana ni mnafiki sana. Anadhani watanzania ni wapuuzi sana. Haiwezekani MTU ambaye anaikanyaga demokrasia na kuvamia vituo vya Habari yeye anatunga nyimbo ya kumpromote na kumfagilia kana kwamba nyie ambao mmebeba hadi kufikia hapo anawaona wapuuzi na kiwadharau sana. Juzi mmemsimamisha Alex lwambano kwa kurusha habari za bashite: Leo mkimpromote huyu mnafiki tutawashangaa sana.

Kijana amevuka mstari na lazima ahadhibiwe ipasavyo...Leo anatukana wananchi eti tumekaa hatufanyi kazi tunajadili vyeti...mpuuzi huyu, hajui kuwa mkuu wa Nchi kafukuza wangapi kwa kashfa za vyeti.

Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.


Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.

Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
Dogo mshamba sana wewe. Badala ya kufanya mziki unaleta upuuzi wa kikolomije. Unajiona pimbi wewe.

Na efm huyu kijana hawafai kabsa.
Ahsante Mkubwa; kiukweli Siku hizi huyu dogo anaboa ile mbaya na kufikiri safari ya sanaa imefika mwisho kumbe bado..sasa napata mashaka juu ya safari yake katika sanaa na hawezi fika mbali kama ataendelea na kuendekeza ulimbukeni anao ufanya sasa..Ni dhahiri shahiri kabisa sasa huyu kijana ndo mtu maarufu hapa Tz aliye kithiri na kutia kinyaa kwa unafiki..Cha msingi media kubwa zote pomoja na radio presenters wamnyime air time ili akome ubishi na huyo shoga yake Bashite..
 
Hiyo ni kwa huko kwenu bushi mabonde kuinama, huku kwa Makonda na simba tunanunua mifagio tofauti wa chooni na wa sebuleni au ndani ya nyumba na mwingine wa nje ya nyumba,

Yule aliekupandisha ndiye atakae kushusha, ufagio ukiwa mpya hufagia sebule ila ukiisha hufagia chooni,
Jipange diamond haya ni maisha tu
 
Demokrasia ni nini kama wewe hapo unashauri udikteta. Watu wengine bana akili zenu sijui huwa mnamuazima nani. Kisa dai hayupo upande wenu kelele mtindo mmoja. Akija upande wenu mnamsafisha na vyeo mnampachika acheni hizo.

Team dai sio wanafiki kama wewe. Eti mlimsapoti pheeeewwwwiiii jitoe tuone kama atashuka kwa kijithread chako hichi
Huyo Dai ni mrembo wa wapi tena(?..) Kwani anatofauti na da kiboga Au ni mdogo ake Bashite?..Nahitaji ufafanuzi..
 
Pole sana
Mungu pekee ndiye anapanga yupi amshushe na yupi ampandishe
nyie na upuuzi wenu kamwe hamta msusha Diamond
Naona umesahau Mungu anapanga na anatekeleza kupitia watu. Nyie ndo wanawake mnaosema "Mungu atanipa mume" alafu ukitongozwa na wanaume unabetua midomo! Mungu akikupandisha kupitia watu ujue anaweza kukushusha kupitia watu hao hao!
 
hahahaha
una ufahamu wimbo wa greenade!?
yaan wewe ndio unaweza ku catch greenade kwa ajili ya Mondy Bashite
Bruno Mars mwenyewe hakusema ata catch grenade ya fan [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huo upendo wa ivyo unaishia kwa Van
 
Huyu kijana ni mnafiki sana. Anadhani watanzania ni wapuuzi sana. Haiwezekani MTU ambaye anaikanyaga demokrasia na kuvamia vituo vya Habari yeye anatunga nyimbo ya kumpromote na kumfagilia kana kwamba nyie ambao mmebeba hadi kufikia hapo anawaona wapuuzi na kiwadharau sana. Juzi mmemsimamisha Alex lwambano kwa kurusha habari za bashite: Leo mkimpromote huyu mnafiki tutawashangaa sana.

Kijana amevuka mstari na lazima ahadhibiwe ipasavyo...Leo anatukana wananchi eti tumekaa hatufanyi kazi tunajadili vyeti...mpuuzi huyu, hajui kuwa mkuu wa Nchi kafukuza wangapi kwa kashfa za vyeti.

Clouds nyie ndo mmemweka hapo. Hakuna kumpa airtime tena. Wapo wasanii wengi Tanzania. Wakina Ben pol, jux, vmoney wasanii wazuri sana km mkiamua kuwekeza kwao.


Dogo mmefanya kawa Mkubwa Leo anawaona nyie wapuuzi. Si anamitandao ya kijamii. Sawa hamna kumpigia tuone fala huyu.tulikusapoti diamond but nadhani una matatizo ya akili..lazima ulipe upuuzi wako.

Umetumika sasa utakula jeuri yako. Bashite hana maisha marefu ya kuwa Mkuu Dar. Utakula jeuri yako pimbi wewe.
Dogo mshamba sana wewe. Badala ya kufanya mziki unaleta upuuzi wa kikolomije. Unajiona pimbi wewe.

Na efm huyu kijana hawafai kabsa.
dah jamaa mapovu yote haya..!!..kisa diamond?!..au kuna mengine?!..kweli tanzania kuna vituko..na hatupo serious na maisha yetu binafsi...mmh ngoja nipite bn kweli nimeamini..tunasafari ndefu bado watanzania...sie kweli masikini[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom