Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

Mtu ambaye kaishia darasa la saba hawezi kujuwa umuhimu wa vyeti. Pia watu wamefukuzwa kazi sababu ya vyeti hilo pia hakuliona? Kazi kweli.
 
mmmmmmmmh binadamu bhana tuna mambo daaaaaah tututawakataa na wazazi wetu pia tunakoelekea ama kumwamuru mmoja hasitoe huduma kwakuwa kamtaja mtu fulani .
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona umesahau Mungu anapanga na anatekeleza kupitia watu. Nyie ndo wanawake mnaosema "Mungu atanipa mume" alafu ukitongozwa na wanaume unabetua midomo! Mungu akikupandisha kupitia watu ujue anaweza kukushusha kupitia watu hao hao!
Sms sent
 
We jamaa roho yako mbaya utakuwa na madeni lazima
 
Upande gani kasuku wewe
 
Kwanza sikiliza nyimbo vzuri afu uje usome tena umeandika nn hpa...
 
Umeongea Maneno mengi lakini yote ni pumba Tupu clouds na Diamond Now wote ni wafanyabiasha wanategemeana Kama wimbo Mbaya Acha usisikilize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…