barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Timubkiba mmepata pa kuhemea, mond bado anakaza nati mpaka ikatike.Huyo kijana ni mwanaccm, anatafuta pesa, Bashite ni mlezi wa kundi lake.. Mlitegemea nini kutoka kwa watu kama hao?
Muacheni aendelee kuburudisha na kutafuta pesa!