Ushauri kwa Diamond kama shabiki beef halikusaidii tumia akili kulikwepa

Katoa nyimbo 3 zikabuma akaona atafanyaje sasa na hasimu wake amelala hakuna mpambano akaamua kuchokoza vita jamaa aaamke na kilichotokea jamaa ameamka kweli kweli na kwa nguvu zote na diamond kajikuta anafeli vibaya sana
Lkn tukiangalia sio kwamba amefeli sana kiivyo kama unavyosema mkuu, tatzo ilizoeleka yeye ni champion siku zote this time kiba naye kawa champion but still I say Diamond is the best, anatakiwa tu areset tricky zake
 
Yaaani huoo ndio ukwelii, jamaa mi kanikera sanaa
Haikua na sababu yeyote ya kutoa hiyo ngoma mdaa huuu angali terehe 1,anataka aachie ngoma na patorank
Mimi kma shabiki wa Diamond, nasema izo stress sake asituletee mashabiki ,maana mpka sasaa atuelewi ipi tuipe msukumo, yaa ZILIPENDWAA au Hiyo ya tarehe 1.
Umeewapa wapinzani nguvu, na promo ya kutoshaa bilaa sababuu
Huh ulilfnyaa ni ujingaa. [emoji22]
 
Kiba hajawahi kuwa mpinzani wa domo ila domo ndio analazimisha upinzani na king...

domo anaugulia rohoni kutokuheshimika kwake ukilinganisha na heshima anazozipata king.

Ushauri wako ni mzuri ila ongezea kwamba domo anahitaji kupunguza siteresi za zari kuwa bize na wanawe na kumwacha yeye awe bize na vicheche kwa KUSOMA VITABU na sio kukaa na vitoto vidogo visivyoweza kumpa mawazo ya kiutu uzima ukichukulia ni mlezi wa watoto 6 sio mchezo.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Hivi tarehe moja bado siku ngapi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee umeongea ukwelii kabisaa
Ilaa jamaa ametupa fedheha sana. ...!

Kiufupi yaani stress zake asituletee na sisi, Alafu kila kitu kibayaa sikuizi anasemwa yeyee, na kwanini iwee yeyee (kunavingine vinakua na ukweli, ilaa anapotezea na neneo kiki) hii I natupa fedhehaa sanaa sisi tunao mpa support kwa mapenzi yetu.

Kuzungumziwa sio kitu kibayaa, ilaa azungumziwe kwa mazurii, na hata mabaya yakitokea yasiwe hivyoo.. Maana hakuna alive kamilika.

Kiukweli anatuchoshaa sanaa, Apige kazi kwa namna ambavyo tumemzoeaa. Sio maneno ya hovyo hovyoo tu. [emoji21] [emoji21]
 
Hakuna cha kumfaidisha mpinzani wake, kiba anafaidishwa na mzki wake mzuri unaopendwa na wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemshauri vzr sana. Kifupi yaan yeye kasababisha kupaisha wimbo wa kiba bila kujua. Angekaa kimya wala isingekuwa hivi, ameonekana kama kapaniki hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule hana akili, kwanza sijui nani aliemwambia atoe ile remix ya fresh, hapo ndo aliwafanya watu wakaweka attention kwa Kiba. Sasa kiba alivyotoa wimbo wake, domo akapost insta picha ya mtu anacheka. Within few hours akaachia ngoma na yeye. This is unproffesional kabisa kwa mtu kama yeye. Ujinga mwingine bwana taabu tupu.
 
Ngoja waje ..alafu walifikiri jamaa atatoa vijembe Kama ilivyo jadi yao ! Chakushangaza Sasa jamaa katoa kitu tofauti ..duh Walivyofikiria sivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah ni vyema kama hakizi vigezo lzm afukuzwea sk anapenda san vita ni mtu wa vijembe sana vitu vinavofanya kuongeza chuki kwa mashabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sk ndio chanzo cha beef la domo na dimpoz...mwarabu koko yule mbeambea na majungu ya kuswahili basi jipya hana anamtia shimoni domo wa watu....ifike pahala afutwe ajira na mwenzake tale iingie timu mpya....vigezo vya elimu kwa manager vizingatiwe tafadhali....vyetiiii...vyeti jamaniiii.....ugangauganga hauna nafasiiii...ELIMU...ELIMUUU...ELIMUUUUU

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Mi mpaka ss cjaona hoja humu zaidi ya vijembe tu kwa sababu wote wametoa ngoma na zote ni kali na naona huyu chibu ndo katoa kali zaidi , manake yy amekuwa ni mtu anaeonyesha kweli yy ni msanii kwani anaimba atleast kwa kubdilikabadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huko kwenu ni usiku kama huku kwetu tandale..KOJOA UKALALEE.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 

Attachments

Tusi liko wapi?!!kaahhh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia upya ulichokoment apo juu...huu uzi unamuhusu mond na mashabiki zake ni jinsi gani anatakiwa kuyakabiri aya majanga yanayomkumba so ww kama huna cha kushauli bora ukapita iv.......na kama unatak kuwatusi watu nenda kwny nyuzi zenye kariba iyo.

Am done.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…