Ushauri kwa Diamond Platnumz na kundi la WASAFI

Ushauri kwa Diamond Platnumz na kundi la WASAFI

matunge

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
442
Reaction score
426
Napenda kusema kuwa nampenda sana Diamond platnumz na nyota wote wa kundi la WASAFI.

Pia nawapenda nyota wote wa muziki wa Tanzania wakiwamo Navy Kenzo na Ali Kiba.

Nimekuwa nikisikiliza na kutazama muziki wa Tanzania kupitia YouTube na internet maana niko nje ya nchi.

Sijawahi kuhudhuria live performance ya Diamond Platnumz ama ya mwanamuziki yeyote yule wa Tanzania.

Kwa kutazama na kusikiliza records za Diamond Platnumz na wanamuziki wengine, muziki unavutia sana.

Lakini pia nimekuwa nikitazama videos za live performance za Diamond Platnumz.

Hapo awali nilidhani kule kukatisha katisha kuimba kila baada ya sekunde chache wakiwa jukwaani na kuwahamasisha watu waimbe ni editing tu. Kumbe ni halisi. Nimegundua baada ya tamasha ya WASAFI la Nairobi kulalamikiwa sana na waKenya.

Naomba Diamond Platnumz na nyota wote wa muziki wa Tanzania.

Jifunzeni kwa magwiji kama Michael Jackson na wengine namna bora ya live performance.

Wao hutumia muda mwingi kuimba na kucheza bila kukatisha na kutaka watu ndiyo waimbe. Ni mara chache sana hufanya hivyo.

Matamasha yenu yanaboa.

Iweje watu walipe kuja kuwaona mkiimba na kucheza live, mnaishia kuruka ruka na kutaka mashabiki ndiyo waimbe.

Msipojirekebisha mtapotea kwenye muziki.

Asanteni.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wameingia kwa pesa ili wao waimbe,lakini utasikia tena wanawaambia watu ''MIKONO JUUUUU'' badala ya wao ndo wanyanyue hiyo mikono sisi tuwasikilize na kuwatazama wao tena wanatulazimisha tuimbe nao utafikili tulitunga nyimbo pamoja.hua wanaboa sana
Napenda kusema kuwa nampenda sana Diamond platnumz na nyota wote wa kundi la WASAFI.

Pia nawapenda nyota wote wa muziki wa Tanzania wakiwamo Navy Kenzo na Ali Kiba.

Nimekuwa nikisikiliza na kutazama muziki wa Tanzania kupitia YouTube na internet maana niko nje ya nchi.

Sijawahi kuhudhuria live performance ya Diamond Platnumz ama ya mwanamuziki yeyote yule wa Tanzania.

Kwa kutazama na kusikiliza records za Diamond Platnumz na wanamuziki wengine, muziki unavutia sana.

Lakini pia nimekuwa nikitazama videos za live performance za Diamond Platnumz.

Hapo awali nilidhani kule kukatisha katisha kuimba kila baada ya sekunde chache wakiwa jukwaani na kuwahamasisha watu waimbe ni editing tu. Kumbe ni halisi. Nimegundua baada ya tamasha ya WASAFI la Nairobi kulalamikiwa sana na waKenya.

Naomba Diamond Platnumz na nyota wote wa muziki wa Tanzania.

Jifunzeni kwa magwiji kama Michael Jackson na wengine namna bora ya live performance.

Wao hutumia muda mwingi kuimba na kucheza bila kukatisha na kutaka watu ndiyo waimbe. Ni mara chache sana hufanya hivyo.

Matamasha yenu yanaboa.

Iweje watu walipe kuja kuwaona mkiimba na kucheza live, mnaishia kuruka ruka na kutaka mashabiki ndiyo waimbe.

Msipojirekebisha mtapotea kwenye muziki.

Asanteni.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda kusema kuwa nampenda sana Diamond platnumz na nyota wote wa kundi la WASAFI.

Pia nawapenda nyota wote wa muziki wa Tanzania wakiwamo Navy Kenzo na Ali Kiba.

Nimekuwa nikisikiliza na kutazama muziki wa Tanzania kupitia YouTube na internet maana niko nje ya nchi.

Sijawahi kuhudhuria live performance ya Diamond Platnumz ama ya mwanamuziki yeyote yule wa Tanzania.

Kwa kutazama na kusikiliza records za Diamond Platnumz na wanamuziki wengine, muziki unavutia sana.

Lakini pia nimekuwa nikitazama videos za live performance za Diamond Platnumz.

Hapo awali nilidhani kule kukatisha katisha kuimba kila baada ya sekunde chache wakiwa jukwaani na kuwahamasisha watu waimbe ni editing tu. Kumbe ni halisi. Nimegundua baada ya tamasha ya WASAFI la Nairobi kulalamikiwa sana na waKenya.

Naomba Diamond Platnumz na nyota wote wa muziki wa Tanzania.

Jifunzeni kwa magwiji kama Michael Jackson na wengine namna bora ya live performance.

Wao hutumia muda mwingi kuimba na kucheza bila kukatisha na kutaka watu ndiyo waimbe. Ni mara chache sana hufanya hivyo.

Matamasha yenu yanaboa.

Iweje watu walipe kuja kuwaona mkiimba na kucheza live, mnaishia kuruka ruka na kutaka mashabiki ndiyo waimbe.

Msipojirekebisha mtapotea kwenye muziki.

Asanteni.



Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona maelezo yako haya yanaonyesha na hadi kuthibitisha kabisa kwamba Wewe siyo Mhudhuriaji na Mfuatiliaji mzuri wa Miziki hasa ya ( Live ) Mubashara kabisa? Hebu rudi tena kaa chini halafu fanya ' assignment ' yako vyema hasa kwa hao Wanamuziki wa huko Mamtoni ( Marekani / Ulaya ) uone kama hawafanyi kama akina Diamond na labda kwa kukusaidia tu ni kwamba hata hawa akina Ndomo ( Diamond ) na Wasanii wengi wa Kibongobongo nao hivyo unavyoona wanafanya ' Stejini ' kwa 100% wanawaiga hao hao ambao umewatetea kuwa huwa hawafanyi hivyo. Halafu Siku zingine acha Kuzunguka na ukweli ni kwamba una ' Chuki ' zako tu Ndomo ( Diamond ) japo umejitahidi mno kuwa ' very diplomatic ' katika ' Content ' yako nzima ya ' Uzi ' ili tusikushtukie.
 
Wasanii wa Tanzania ni wavivu na wameshajua kuwa mashabiki wengi ni mazwzwa ndio maana anapanda jukwaani anaanza kuwaimbisha hovyo.
Hakuna mziki mzuri kama live perfomance ya vyombo.Raia watapiga makofi wenyewe na kunyoosha mikono juu ila sio hii ya kulazimishana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi shule kidato cha kwanza kasome KISWAHILI FASIHI SIMULIZI UJUE KAZI YA FANANI NA HADHIRA YAKE. KIMSINGI HADHIRA LAZIMA UWASHIRIKISHE HASWAAA NA SI KAMA TAARABU HYOOOOO. so wengne ushamba unawasumbua. Maana hata huku kwa kina America wako ndo hvyohvyo
 
Ukisikia wanasema, mikono juu, ujue wamepanga njama na vibaka wa mifukoni waibie watu. Hawa WASAFI ni wezi sana.
 


Mbona maelezo yako haya yanaonyesha na hadi kuthibitisha kabisa kwamba Wewe siyo Mhudhuriaji na Mfuatiliaji mzuri wa Miziki hasa ya ( Live ) Mubashara kabisa? Hebu rudi tena kaa chini halafu fanya ' assignment ' yako vyema hasa kwa hao Wanamuziki wa huko Mamtoni ( Marekani / Ulaya ) uone kama hawafanyi kama akina Diamond na labda kwa kukusaidia tu ni kwamba hata hawa akina Ndomo ( Diamond ) na Wasanii wengi wa Kibongobongo nao hivyo unavyoona wanafanya ' Stejini ' kwa 100% wanawaiga hao hao ambao umewatetea kuwa huwa hawafanyi hivyo. Halafu Siku zingine acha Kuzunguka na ukweli ni kwamba una ' Chuki ' zako tu Ndomo ( Diamond ) japo umejitahidi mno kuwa ' very diplomatic ' katika ' Content ' yako nzima ya ' Uzi ' ili tusikushtukie.
Hapana sina chuki na Diamond Platnumz hata kidogo.

Napenda sana muziki wake.

Napenda afanikiwe ndiyo maana nimetoa ushauri.

Nimefuatilia wakenya walivyochukizwa na namna alivyotumbuiza. Imenisikitisha.

Wewe kumuita "domo" si ubinadamu.

Sitaki juhudi zake zije zianguke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi shule kidato cha kwanza kasome KISWAHILI FASIHI SIMULIZI UJUE KAZI YA FANANI NA HADHIRA YAKE. KIMSINGI HADHIRA LAZIMA UWASHIRIKISHE HASWAAA NA SI KAMA TAARABU HYOOOOO. so wengne ushamba unawasumbua. Maana hata huku kwa kina America wako ndo hvyohvyo
Shirikisha hadhira kwa mpangilio mzuri siyo kila sekunde unasitisha kuimba.

Fuatilia Beyonce, Kanye West, R Kelly, Jay Zee na wengine namna wanavyoshirikisha mashabiki.

Kuna utofautii mkubwa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaoneka umeumia sana alivyosema


Mbona maelezo yako haya yanaonyesha na hadi kuthibitisha kabisa kwamba Wewe siyo Mhudhuriaji na Mfuatiliaji mzuri wa Miziki hasa ya ( Live ) Mubashara kabisa? Hebu rudi tena kaa chini halafu fanya ' assignment ' yako vyema hasa kwa hao Wanamuziki wa huko Mamtoni ( Marekani / Ulaya ) uone kama hawafanyi kama akina Diamond na labda kwa kukusaidia tu ni kwamba hata hawa akina Ndomo ( Diamond ) na Wasanii wengi wa Kibongobongo nao hivyo unavyoona wanafanya ' Stejini ' kwa 100% wanawaiga hao hao ambao umewatetea kuwa huwa hawafanyi hivyo. Halafu Siku zingine acha Kuzunguka na ukweli ni kwamba una ' Chuki ' zako tu Ndomo ( Diamond ) japo umejitahidi mno kuwa ' very diplomatic ' katika ' Content ' yako nzima ya ' Uzi ' ili tusikushtukie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala sio uongo mi napenda performance zao yaan una enjoy kuangalia hata kwenye tv, unasikia vyombo vinapigwa, steji nzuri inafutia backup vocals mpaka raha sio huku spika zinapiga kelele hatusikilizan
Shirikisha hadhira kwa mpangilio mzuri siyo kila sekunde unasitisha kuimba.

Fuatilia Beyonce, Kanye West, R Kelly, Jay Zee na wengine namna wanavyoshirikisha mashabiki.

Kuna utofautii mkubwa mno

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wameingia kwa pesa ili wao waimbe,lakini utasikia tena wanawaambia watu ''MIKONO JUUUUU'' badala ya wao ndo wanyanyue hiyo mikono sisi tuwasikilize na kuwatazama wao tena wanatulazimisha tuimbe nao utafikili tulitunga nyimbo pamoja.hua wanaboa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa wanasema tuimbe wote si ndio!, halafu mikono juu mikono juuu ...kulia kusho kulia kushotooo, halafu akiimba akiona anafuatishwa na mashabiki anakaa kimya na dj anazima biti ili muimbe kavukavu nyinyi watazamaji, ila dj akiruhusu biti mda huo na yeye msanii ndio anaendelea kuimba kwa kufuatisha lile biti...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom