Napenda kusema kuwa nampenda sana Diamond platnumz na nyota wote wa kundi la WASAFI.
Pia nawapenda nyota wote wa muziki wa Tanzania wakiwamo Navy Kenzo na Ali Kiba.
Nimekuwa nikisikiliza na kutazama muziki wa Tanzania kupitia YouTube na internet maana niko nje ya nchi.
Sijawahi kuhudhuria live performance ya Diamond Platnumz ama ya mwanamuziki yeyote yule wa Tanzania.
Kwa kutazama na kusikiliza records za Diamond Platnumz na wanamuziki wengine, muziki unavutia sana.
Lakini pia nimekuwa nikitazama videos za live performance za Diamond Platnumz.
Hapo awali nilidhani kule kukatisha katisha kuimba kila baada ya sekunde chache wakiwa jukwaani na kuwahamasisha watu waimbe ni editing tu. Kumbe ni halisi. Nimegundua baada ya tamasha ya WASAFI la Nairobi kulalamikiwa sana na waKenya.
Naomba Diamond Platnumz na nyota wote wa muziki wa Tanzania.
Jifunzeni kwa magwiji kama Michael Jackson na wengine namna bora ya live performance.
Wao hutumia muda mwingi kuimba na kucheza bila kukatisha na kutaka watu ndiyo waimbe. Ni mara chache sana hufanya hivyo.
Matamasha yenu yanaboa.
Iweje watu walipe kuja kuwaona mkiimba na kucheza live, mnaishia kuruka ruka na kutaka mashabiki ndiyo waimbe.
Msipojirekebisha mtapotea kwenye muziki.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia nawapenda nyota wote wa muziki wa Tanzania wakiwamo Navy Kenzo na Ali Kiba.
Nimekuwa nikisikiliza na kutazama muziki wa Tanzania kupitia YouTube na internet maana niko nje ya nchi.
Sijawahi kuhudhuria live performance ya Diamond Platnumz ama ya mwanamuziki yeyote yule wa Tanzania.
Kwa kutazama na kusikiliza records za Diamond Platnumz na wanamuziki wengine, muziki unavutia sana.
Lakini pia nimekuwa nikitazama videos za live performance za Diamond Platnumz.
Hapo awali nilidhani kule kukatisha katisha kuimba kila baada ya sekunde chache wakiwa jukwaani na kuwahamasisha watu waimbe ni editing tu. Kumbe ni halisi. Nimegundua baada ya tamasha ya WASAFI la Nairobi kulalamikiwa sana na waKenya.
Naomba Diamond Platnumz na nyota wote wa muziki wa Tanzania.
Jifunzeni kwa magwiji kama Michael Jackson na wengine namna bora ya live performance.
Wao hutumia muda mwingi kuimba na kucheza bila kukatisha na kutaka watu ndiyo waimbe. Ni mara chache sana hufanya hivyo.
Matamasha yenu yanaboa.
Iweje watu walipe kuja kuwaona mkiimba na kucheza live, mnaishia kuruka ruka na kutaka mashabiki ndiyo waimbe.
Msipojirekebisha mtapotea kwenye muziki.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app