Ushauri kwa Diamond Platnumz na kundi la WASAFI

Ukihudhuria shoo za wasanii wa bongo usisikie maneno haya basi amini Sio bongo!

Sema woyooooo woyo woyooooo!

Twende hivi twende hivi......


Siwasikii siwasikii......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] inaonekana wewe ni muhudhuriaji mzuri...
 
Usiende mbali hapahapa bongo Christian Bella kwenye show sake akiwa na bendi huwa anaimba peke yaka masaa mawili na zaidi mnamsikiliza yeye tu hata wazaire kwenye show zao huwa wanawaambia mkae msikilize masauti hao madomo hawana pumzi za live!!....
 
Point tupu. Huko kukatisha kunanikera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…