Umemsahau na SUGU.Diamond ni Punda so anajua kabisa kitanuka muda si Mrefu no wonder anajaribu kujificha Nyuma ya Mgongo wa Bashite
Kimsingi Wasanii wote ambao ni ma punda au wanaojihusisha na Ngada wote wamefunga ndoa na ma Gamba kwa minajili ya kujificha wasistukiwe.
Wasanii wote ambao wako stand bila Magumashi na Mziki wao uko Juu hutokaa uwasikie wanajipendekeza kwa Ma Magamba
Ona Msanii kama King Kiba,Joe Makini (Mwamba wa Kaskazin),Fid Q ,Darasa,Lady Jay Dee etc hutakaa uwaone wanajipendekeza kwa watu kama Daud Bashite
Lazma afaidi maana ntampumuliaje kisogonii....maana kila siku naona matangazo kuwa jamaa zimehamia nyuma....anatoa nukta. Ila mi sitamuonga ford, bmw wala v8, hata nauli simpi...
Wasukuma wapole lakini washamba...yaani kuwa na simu mbili ndo maendeleoo??? Ushamba mzigooo....
Unasema mimi mvivu na naona wivu..unanlisha ww??? jibu swali unanlishaa???
Ila endelea kumpgia chapuo kibwana uchwara chako labda ndo kinakuweka mjiniiii.
Safi sana, haya majitu yanachosha yaani kutwa kumsema mtuMchafu ni yeye au wewe?
Anajuana nae miaka mingi, ulikuwa wapi kumshauri au umeona nini kibaya kimemtokea Diamond. Jembe la Taifa Mh. Makonda yupo juuuuuuuuuu
Acha wivu, uvivu na tamaa
Yaani unamfikiria Makonda hadi kuingilia maisha yake kila upande. Embu ishi kivyako wewe na wenzako wote
Mnamchafua mnashindwa, unakuja kuanza kuingilia maisha ya watu.
Umeandika upupwu haswa, fikiria maisha yako yasonge acha wivu.
Na bado
Makonda oyeeeeee
Hujauona uzi mkuu!Hakuna anayemchagulia
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.
Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.
Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.
Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.
Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.
Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..
Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.
Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.
Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.
Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.
Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.
Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..
Diamond unakuwa km bashite na wewe.
HHahahaaa ameota mapembeDiamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.
Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.
Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.
Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.
Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.
Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..
Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Safi sana mkuu wewe kweli nimzalendoNani amekwambia CHADEMA wote tunampinga Bashite hii ni VITA ya dawa za kulevya tunapigania maslahi ya vijana wetu mimi ni miongoni mwa wanaM4C tunamuunga mkono BASHITE achaneni na upuuzi wa vyeti Tunapiga vita Dawa za kulevya kwanza
D alizunguka nchi nzima kukata viuno kwenye kampeni CCM bila hivyo naye angekuwa mmojawapo wa kutangazwa hadharani na Bashite kwa kujihusisha na unga.
Ukaribu wake na Bashite haina maana kuwa Bashite ni msafi bali ni kwa ajili ya kujilinda ili Bashite asije akaweka mambo hadharani,wakati Bashite mwenyewe ana ogopa kufanya hivyo kwa kukumbuka fadhila za viuno vya D alivyokata nchi nzima kwenye kampeni za CCM.
Baharia sijui ana maslahi gn pale? Anatoa povu balaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MSAGA SUMU aliseme le Baharia ni msomi wa PhD.
Na le baharia naye ni kama deouty RC maana si kwa povu lile analo toa akigusiwa Bashite
Na hao ndio wenye akili timamu, wanajua wanachokishabikia kwa Diamond si maisha yake bali mziki wake, tupo wengi tu wa aina hiyo.Hivi washaibiki wa D halafu ma hater wa Bashite na wale ambao ni washabiki wa D lakini chadema, siwanapata wakati mgum sana!
Kama sio u karibu na mkuu unadhani angeachwa kwenye ile listDiamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.
Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.
Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.
Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.
Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.
Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..
Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Jirani mpaka sasa siamini kama mmeachwa kwenye ile listNa hao ndio wenye akili timamu, wanajua wanachokishabikia kwa Diamond si maisha yake bali mziki wake, tupo wengi tu wa aina hiyo.
Hahha Jirani naona sala zako zote ulielekeza upande huu. Hatuhusiki ndio maana [emoji6] [emoji6]Jirani mpaka sasa siamini kama mmeachwa kwenye ile list
Kweli mchawi mpe mwanao akulelee
HahahahaEeeeeeh
Ha ha haaaaa
hao jana juzi nimewachunia kuwajibu ndio umeona wakapoa. quotes over 200 jana asubuhi in less than 24 hrs nikasema sasa sizisomi, jana usiku nimeibuka nao wameanza tena na wanahasira na mimi eeeh
Ngoja waje naona unawaita kwa kasi.....ukweli always haupendwiHahahaha
Ujue Mondi juzi kaonekana kutaka yaishe
Heeee! Bwana Kiba aloko tokea huko akaonesha bado ana interest kabisa ya bifu.
Labda bifu lina m keep alive[emoji1]
HahahahNgoja waje naona unawaita kwa kasi.....ukweli always haupendwi
Una ushahidiHata Mondi kupigiwa simu ilikuwa planned kabisa, sijajua bashite anatumia juju gani kuwezesha yote haya, nahisi akiamua mkulu anitwangie simu lazima iwe tu
Anamharibia nini. Makonda sio mwanamuziki