Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Diamond ni Punda so anajua kabisa kitanuka muda si Mrefu no wonder anajaribu kujificha Nyuma ya Mgongo wa Bashite
Kimsingi Wasanii wote ambao ni ma punda au wanaojihusisha na Ngada wote wamefunga ndoa na ma Gamba kwa minajili ya kujificha wasistukiwe.
Wasanii wote ambao wako stand bila Magumashi na Mziki wao uko Juu hutokaa uwasikie wanajipendekeza kwa Ma Magamba
Ona Msanii kama King Kiba,Joe Makini (Mwamba wa Kaskazin),Fid Q ,Darasa,Lady Jay Dee etc hutakaa uwaone wanajipendekeza kwa watu kama Daud Bashite
Umemsahau na SUGU.
 
Maskin pole sana hadi unalia jaman kisa makonda jaman
Lazma afaidi maana ntampumuliaje kisogonii....maana kila siku naona matangazo kuwa jamaa zimehamia nyuma....anatoa nukta. Ila mi sitamuonga ford, bmw wala v8, hata nauli simpi...

Aisee povu lote hili pole jamani wivu mbaya. Hahaha handsome makonda anakunyima raha
Wasukuma wapole lakini washamba...yaani kuwa na simu mbili ndo maendeleoo??? Ushamba mzigooo....
Unasema mimi mvivu na naona wivu..unanlisha ww??? jibu swali unanlishaa???
Ila endelea kumpgia chapuo kibwana uchwara chako labda ndo kinakuweka mjiniiii.
 
Mchafu ni yeye au wewe?

Anajuana nae miaka mingi, ulikuwa wapi kumshauri au umeona nini kibaya kimemtokea Diamond. Jembe la Taifa Mh. Makonda yupo juuuuuuuuuu

Acha wivu, uvivu na tamaa

Yaani unamfikiria Makonda hadi kuingilia maisha yake kila upande. Embu ishi kivyako wewe na wenzako wote


Mnamchafua mnashindwa, unakuja kuanza kuingilia maisha ya watu.

Umeandika upupwu haswa, fikiria maisha yako yasonge acha wivu.


Na bado


Makonda oyeeeeee
Safi sana, haya majitu yanachosha yaani kutwa kumsema mtu
 
Makonda amewasababishia hasara wale jamaa {wazee wa UKUTA} hakika hawafanyi kazi kutwa wao ni Makonda tu sisi tunapiga kazi.
 
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.

Nani amekwambia CHADEMA wote tunampinga Bashite hii ni VITA ya dawa za kulevya tunapigania maslahi ya vijana wetu mimi ni miongoni mwa wanaM4C tunamuunga mkono BASHITE achaneni na upuuzi wa vyeti Tunapiga vita Dawa za kulevya kwanza
 
Hivi washaibiki wa D halafu ma hater wa Bashite na wale ambao ni washabiki wa D lakini chadema, siwanapata wakati mgum sana!
 
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.

You are very cheap Person and jealousy Person for that matter. Tangu nimeingia Jf. Juzi tu hapo by the way. Nimegundua nilichokuwa nawaza kuwa kuna Great minds nimekosea sana. Mana topic za humu ni kudiscuss people. Na Pengine nikisema kudiscuss ninakosea. Mana discussion ina involves. Positives Negatives and conclusion based on the challenges zilizojitokeza. Now why are you so obviously cheap and narrow minded:. 1. Diamond ni msanii na mtu huru. 2.Makonda mnamtuhumu mitandaoni tena baada ya kuanza vita vya madawa (whatever the method) 3 sheria inasema innocent until proven guilty .4.nchi hii haijakataza watu kuwa marafiki. Sooooo kinachoonekana kwako. Moja unaonekana mshabiki wa Ali kiba. Pili. Kama hujatumia madawa basi utakuwa mfaidika kwa maana ya salio au muhusika fulani .tatu. Una chuki na Diamond au Makonda kwa sababu zako binafsi. So unakosa moral authority ya kutoa fair judgement ya jambo lolote kuhusu Diamond
 
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.
HHahahaaa ameota mapembe
 
Nani amekwambia CHADEMA wote tunampinga Bashite hii ni VITA ya dawa za kulevya tunapigania maslahi ya vijana wetu mimi ni miongoni mwa wanaM4C tunamuunga mkono BASHITE achaneni na upuuzi wa vyeti Tunapiga vita Dawa za kulevya kwanza
Safi sana mkuu wewe kweli nimzalendo
D alizunguka nchi nzima kukata viuno kwenye kampeni CCM bila hivyo naye angekuwa mmojawapo wa kutangazwa hadharani na Bashite kwa kujihusisha na unga.

Ukaribu wake na Bashite haina maana kuwa Bashite ni msafi bali ni kwa ajili ya kujilinda ili Bashite asije akaweka mambo hadharani,wakati Bashite mwenyewe ana ogopa kufanya hivyo kwa kukumbuka fadhila za viuno vya D alivyokata nchi nzima kwenye kampeni za CCM.
 
Hivi washaibiki wa D halafu ma hater wa Bashite na wale ambao ni washabiki wa D lakini chadema, siwanapata wakati mgum sana!
Na hao ndio wenye akili timamu, wanajua wanachokishabikia kwa Diamond si maisha yake bali mziki wake, tupo wengi tu wa aina hiyo.
 
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Kama sio u karibu na mkuu unadhani angeachwa kwenye ile list

Mwache arudishe fadhila mkuu
Kupi tia tale na Salam
 
Na hao ndio wenye akili timamu, wanajua wanachokishabikia kwa Diamond si maisha yake bali mziki wake, tupo wengi tu wa aina hiyo.
Jirani mpaka sasa siamini kama mmeachwa kwenye ile list
Kweli mchawi mpe mwanao akulelee
 
Sijakuelewa Unaposema Diamond Aachane na Makonda?

Kwanza Makonda kafanya Lipi baya? Ambalo litamuharibia Diamond? Usisahau kuwa MAKONDA ndie Mlezi wa WCB tangu huhasikia Hizo tetesi za kutumia Vyeti ambavyo si vyake na WCB ilizidi kuimarika kila sikuu

Makonda amekuwa mlezi wa WCB kitambooooo......Kamtaja Romy Jonson na Bado maisha yanaendelea!!!

Wasanii kujihusisha na Mambo ya kijamii ni kitu cha kawaida sanaaaaaa.....ninapata mashaka kwako ww ukifanikiwa inaonekanaa utawaona wote waliopo chini yako ni Mavi! Kama Rais wa Nchi anamuunga Mkono kwa anayo yafanya Makonda kwani Kuna Tatizo gani kwa Diamond kumuunga Mkono.....Wangapi wapo Bungeni lakini ni Failure zaidi na bado kuna wasanii wanawaunga mkono

Nyie Makonda mchukieni ilaa anayo yafanya ni 100% tunaunga mkono
 
Jirani mpaka sasa siamini kama mmeachwa kwenye ile list
Kweli mchawi mpe mwanao akulelee
Hahha Jirani naona sala zako zote ulielekeza upande huu. Hatuhusiki ndio maana [emoji6] [emoji6]
 
Eeeeeeh

Ha ha haaaaa

hao jana juzi nimewachunia kuwajibu ndio umeona wakapoa. quotes over 200 jana asubuhi in less than 24 hrs nikasema sasa sizisomi, jana usiku nimeibuka nao wameanza tena na wanahasira na mimi eeeh
Hahahaha
Ujue una nifurahishaga vile una fight, yaan mi huwa nacheka sana.

Ime fika stage uzi wa Bashite bila uwepo wako haunogi
 
Hahahaha
Ujue Mondi juzi kaonekana kutaka yaishe
Heeee! Bwana Kiba aloko tokea huko akaonesha bado ana interest kabisa ya bifu.
Labda bifu lina m keep alive[emoji1]
Ngoja waje naona unawaita kwa kasi.....ukweli always haupendwi
 
Back
Top Bottom