Akiacha atamsakama kuwa wasafi ni wauza ngada ndiyo maana anaogopa kumtosaDiamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.
Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.
Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.
Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.
Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.
Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..
Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Lakini hio sifuri haijamuathiri kapambana hadi kawapita au kuwa sawa na waliokuwa vipanga shuleni.Domo uwezo wake wa kufikili mdogo kwanza elimu yake na bashite ni sawa wote wanaongoza kupata sifuri
Jifunze kuvumilia usichokipenda sio kila unachopenda lazima watanzania wote wakipende huo ni ubinafsi na udictator pia.Diamond kwa kweli pale ali kera kweli, hivi zile akili alizo zionesha kwenye kuizima bifu yake na Kiba zilimfanya aonekane ana maana, halafu akaja kuharibu kabisaaaa kwa kuonekana na Bashite.
Kwanza yeye ina muongezeaa nini aki kaa jirani na Bashite?, angekaa home ingempungua nini?, hajui kuwa RC alikuwa ana mtumia kwa aijili tu ya kutaka vijisifa vyake mwenyewe.
Namkubali sana Domo ila kwa Bashite kaonesha u pompompo wa hali ya juu.
Cocochanel makonda kakupa nini? Hebu ning'ate sikio hata kwa Private Message basiHa ha haaaa hata wewe ni punda.
Makonda oyeeeeeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jifunze kuvumilia usichokipenda sio kila unachopenda lazima watanzania wote wakipende huo ni ubinafsi na udictator pia.
Makonda au BashiteWCB wanadai makonda ni mlezi wao...
Wanamkimbia je sasa?
Nadhani wasanii wengi hawajui kuishi kama professionals, huwa nashangaa sana wanaposhabikia political parties; ikiwemo Ccm. It's amazing!Diamond kwa kweli pale ali kera kweli, hivi zile akili alizo zionesha kwenye kuizima bifu yake na Kiba zilimfanya aonekane ana maana, halafu akaja kuharibu kabisaaaa kwa kuonekana na Bashite.
Kwanza yeye ina muongezeaa nini aki kaa jirani na Bashite?, angekaa home ingempungua nini?, hajui kuwa RC alikuwa ana mtumia kwa aijili tu ya kutaka vijisifa vyake mwenyewe.
Namkubali sana Domo ila kwa Bashite kaonesha u pompompo wa hali ya juu.
Acha wivu wa kike, dai ana uwezo mkubwa kukushinda, ni kijana mdogo katoka kwenye zero to hero, from tandale mpaka sasa karibu dunia nzima inamjua..... halafu unasema uwezo wa kufikiri ni nini?.....Domo uwezo wake wa kufikili mdogo kwanza elimu yake na bashite ni sawa wote wanaongoza kupata sifuri
Maoni yanatoa muelekeo na dhamira[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa hayo si maoni yangu
Ku niita dikteta umenionea bhana
Makonda mpk mahakama itakavyosema vinginevyo sio gwajima na kanisa lake.Makonda au Bashite
Basi wasioujua ni wengi sana hadi marekani kwa sab tumeshudia wasanii wa marekani walivyoonyesha mapenzi kwa vyama vilivyopambana kuwania urais hasa democratic na republican.Nadhani wasanii wengi hawajui kuishi kama professionals, huwa nashangaa sana wanaposhabikia political parties; ikiwemo Ccm. It's amazing!
Both ! [emoji23][emoji23][emoji23]Makonda au Bashite
HahahaMaoni yanatoa muelekeo na dhamira
Rafiki yako hence mtanashati simuoniHahaha
Hamna bhana umenitafsiri vibaya bhana
Hance Mtanashati yupoRafiki yako hence mtanashati simuoni
Cocochanel makonda kakupa nini? Hebu ning'ate sikio hata kwa Private Message basi