Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Akiacha atamsakama kuwa wasafi ni wauza ngada ndiyo maana anaogopa kumtosa
 
Domo uwezo wake wa kufikili mdogo kwanza elimu yake na bashite ni sawa wote wanaongoza kupata sifuri
Lakini hio sifuri haijamuathiri kapambana hadi kawapita au kuwa sawa na waliokuwa vipanga shuleni.
 
Diamond kwa kweli pale ali kera kweli, hivi zile akili alizo zionesha kwenye kuizima bifu yake na Kiba zilimfanya aonekane ana maana, halafu akaja kuharibu kabisaaaa kwa kuonekana na Bashite.
Kwanza yeye ina muongezeaa nini aki kaa jirani na Bashite?, angekaa home ingempungua nini?, hajui kuwa RC alikuwa ana mtumia kwa aijili tu ya kutaka vijisifa vyake mwenyewe.
Namkubali sana Domo ila kwa Bashite kaonesha u pompompo wa hali ya juu.
Jifunze kuvumilia usichokipenda sio kila unachopenda lazima watanzania wote wakipende huo ni ubinafsi na udictator pia.
 
Jifunze kuvumilia usichokipenda sio kila unachopenda lazima watanzania wote wakipende huo ni ubinafsi na udictator pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa hayo si maoni yangu

Ku niita dikteta umenionea bhana
 
Diamond kwa kweli pale ali kera kweli, hivi zile akili alizo zionesha kwenye kuizima bifu yake na Kiba zilimfanya aonekane ana maana, halafu akaja kuharibu kabisaaaa kwa kuonekana na Bashite.
Kwanza yeye ina muongezeaa nini aki kaa jirani na Bashite?, angekaa home ingempungua nini?, hajui kuwa RC alikuwa ana mtumia kwa aijili tu ya kutaka vijisifa vyake mwenyewe.
Namkubali sana Domo ila kwa Bashite kaonesha u pompompo wa hali ya juu.
Nadhani wasanii wengi hawajui kuishi kama professionals, huwa nashangaa sana wanaposhabikia political parties; ikiwemo Ccm. It's amazing!
 
Domo uwezo wake wa kufikili mdogo kwanza elimu yake na bashite ni sawa wote wanaongoza kupata sifuri
Acha wivu wa kike, dai ana uwezo mkubwa kukushinda, ni kijana mdogo katoka kwenye zero to hero, from tandale mpaka sasa karibu dunia nzima inamjua..... halafu unasema uwezo wa kufikiri ni nini?.....
 
Nadhani wasanii wengi hawajui kuishi kama professionals, huwa nashangaa sana wanaposhabikia political parties; ikiwemo Ccm. It's amazing!
Basi wasioujua ni wengi sana hadi marekani kwa sab tumeshudia wasanii wa marekani walivyoonyesha mapenzi kwa vyama vilivyopambana kuwania urais hasa democratic na republican.
 
Angekuwa kiba nadhani tungeona matusi mapya humu leo hhhhh
 
Cocochanel makonda kakupa nini? Hebu ning'ate sikio hata kwa Private Message basi

Na like nimekupa duh

Hatujuani.

Ila inabidi sababu watunga uongo hawana akili za kudanganya na hizo div 1 zao


Ha ha haaaaaaaaaaaaaa
 
Mond unajichanganya,utapunguza mashabiki,kujiingiza kwenye mambo ya siasa,mie nakubali sana kazi zako na mpenzi wako mkubwa nakukubali sana
 
Back
Top Bottom